Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Jamaa anafaidi misimbazi tu afu anajifanya anavimba nyumbani kumbe wife anamwona kolo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu Mada naafikiana na wewe.
Walio wengi maofisini naamini kabisa kuwa wako pale sababu ya ngono.


Mkuu ila kuhusu Cocastic tutagombana.
Jamani muoneeni huruma huyu jikedume. Mpeni mda marinda yajirudie
 
Wanawake hata kama unawapiga bao hamsini hatosheki atatafuta tu mjolobe mwengine.
 

Rushwa ya ngono ni rushwa ngumu sana kuipunguza, inapendwa na pande zote mbili. Wanaume wanaipenda na wanawake wanaifurahia. Uwezo mdogo ni chanzo cha wanawake kuipenda sana rushwa ya ngono.
 
Asili ya mwanamke ni kutaka "ulinzi/usalama".
Ulinzi/usalama unatoka wapi!!! Unatoka kwa mwanaume mwenye mafanikio.
Kuna mafanikio ya kifedha,kiuchumi,kijamii,kiumbo.
Kama akili yake inamuaminisha hela ndiyo itampa ulinzi,atampenda au kumuhitaji mwanaume mwenye hela.
Kama akili yake inaamini shule/elimu kubwa ndio itampa ulinzi,atampenda mwenye elimu bora/kubwa.
Kama anaamini kwenye cheo,basi yule ambaye yupo kwenye nafasi ya kumpa cheo ndiye atakuwa naye.

Hapa kuna vitu viwili lazima tuvitambue.
Kuna wanawake wanaotumia akili katika kupenda au kuwa na mahusiano(wakiwa na lengo fulani litimie) na kuna wale wanaotumia hisia/moyo (hawa ni wale ambao wanafuata hisia zao zinavyowatuma ambao ni kama wale wanaopenda aina fulani tu kama mweusi mrefu au mweupe mrefu).

Yote kwa yote,mwanamke takwa lake kuu ni "security".
Hii security ndio ina mapana yake makubwa sana.
 
Well said.
 
Sahihi kabisa
 
hii ni kweli kabisa na naiona hata kwa mrs wangu,najua ananyanduliwa,ila kwakuwa sitaki kuharibu ndoa,amani ya nyumbani na bond tuliyojenga na watoto,nimeamua kukaa kimyaaaa

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
So are now kust stating the obvious?
Kwanza wanawake wameletwa duniani tuwagegede suala la kumindi mkeo kugegedwa ni uninga uliopitiliza. Kitu yenyewe ikioshwa ipo kama brandnew wewe jealousy ya nini? Dunia ya sasa ina wanaume very weak emotionally
 
Baada ya kupitia maelezo yako yote nimebaini yafuatayo;

1.wewe ni kijana ambae bado haujapevuka kifikra & kimawazo, yaani bado upo foolish age(samahani ashakum si matusi na sina lengo la kukutusi ndugu)

2.siwezi kuwalaumu ww na huyo dada maana hapo ndipo upeo wenu w kufikiri ulipoishia.
3.Kosa kubwa nililoliona ni ku generalize kuwa wanawake wooote atleast angetumia waliowengi kdg labda ingekuwa na mashiko.

4.Asichokijua ni kuwa kugongewa ipo tu, unagongewaje itategemea na aina ya mwanamke uliye nae , ukiwa na mshenzi hataumfungulie biashara, hata umfungie ndani 24/7 atagongwa tena humo humo ndani akikosa kabisa wakumgonga atampa hata ndugu yako kama sio mlinzi kutokana na ushenzi wake.

5.mwanamke aliyelelewa, mwenye staha, mwenye hofu ya mungu na anaejitambua ata ikitokea ukagongewa bahati mbaya basi kunasababu tena mara nyingi umesababish ww na atafanya hivyo kwa heshima.

6.Maofisini kumechafuka sana tena sana wanawake wanagongwa kwelii ila ni tabia y mtu wapo wanaojiheshimu kiasi hata kutongozwa tu wanaogopwa, kinachowaponza ni tamaa na kujilainisha wenyewe hakuna anebakwa
 
Hebu nitolee Upuuzi na Uharo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…