green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Jamaa anafaidi misimbazi tu afu anajifanya anavimba nyumbani kumbe wife anamwona koloKUna jamaa yangu mmoja mkewe alikuwa anafanya kazi tasisi binafsi so kila siku mkewe anakuja na elfu hamsini some times laki jamaa akaanza shemeji yenu ofisi yao ipo vizuri sana kila siku anatoka na elfu hamsini some times laki moja, wazee wa Cuba tunaguna mmh ofisi ile kwa kipi cha ziada kufuatilia sana kumbe shemeji yatu kila siku anatoa papuchi kwa boss yani boss akanunua mpaka
Kitanda akaweka ofisini kwake eti akichoka apumzike
Kumbe ilikuwa machinjio
Utaenda jela utuachie mkeo tumuumize sehemu za siri kwa kipato kidogo cha kujikimu[emoji4]Nitaua Mtu.
Jamani muoneeni huruma huyu jikedume. Mpeni mda marinda yajirudieKuhusu Mada naafikiana na wewe.
Walio wengi maofisini naamini kabisa kuwa wako pale sababu ya ngono.
Mkuu ila kuhusu Cocastic tutagombana.
Wanawake hata kama unawapiga bao hamsini hatosheki atatafuta tu mjolobe mwengine.Ebu jielewe
Ukweli wacha usemwe.
Asilimia 55 wanaume wanaishi na watoto wasio wao.
Wanawake wote malaya,mtu kama sister(katoliki) anachepuka na padre sembuse mtu wakawaida.
Kipindi cha miaka 18 mpaka 36 kwa mwanamke anakuwa na mshawasha wa mapenzi sana,sasa kama mwanaume utakuwa bize na kazi au huwezi kumtosheleza mke wako lazima uchapiwe tu.
Ukweli usemwe vijana wa sasa mazoezi hakuna:bao moja chali tena unageukia pembeni sasa kwa kweli siutachapiwa.
Topic Closed.
Rushwa ya ngono ni rushwa ngumu sana kuipunguza, inapendwa na pande zote mbili. Wanaume wanaipenda na wanawake wanaifurahia. Uwezo mdogo ni chanzo cha wanawake kuipenda sana rushwa ya ngono.
Well said.That's the truth bro. Women tend to sleep with men who are better than them in all aspects. Haijalishi ana one ya tatu na 4.5 G.P.A , ukimuoa alafu wewe huna cha kujivunia, huna accomplishment yoyote ambayo itamfanya aone una zaidi ya kumuimprove, atakusaliti bro kisirisiri, regardless unamkaza sana.
Women will remain to be women, nimeshuhudia mengi sana na Kwa experience yangu , wanawake usipowazidi almost 90% ya kila kitu, wanamtafuta mtu ambaye ataona ni kama saizi yake ya mguu wake uliopwaya na kiatu ambacho ni wewe.
Kuna jomba mmoja apa mtaani, ana kazi yake ila alioa independent woman aliyefanikiwa kielimu, kikazi na biashara pia( n muajiriwa) aisee anateseka mpaka akaamua aondoke nyumbani, karudi juzijuzi baada ya usuluhishi wa kifamilia ila naona mwendo ni uleule kaamua kumute. What a waste.
Kumbe na Kiingereza unakijuajua kidogo?Well said.
Kwanini unashambulia watu wewe?Jamani muoneeni huruma huyu jikedume. Mpeni mda marinda yajirudie
Sahihi kabisaMwanamke ni Victim katika kila upande. Binti kapiga zake msuli kapata division one kaenda zake Udsm kapata zake degree kapambana mtaani mungu sio Athumani kapata zake kazi kawa Strong, Smart and Independent Woman.
Ghafla anatokea mtu asiyejua hatma yake ya maisha anaenda kutafuta attention kwenye vituo vya kitaifa vya habari na kuongea Nonsense kuhusu Wanawake kwa sababu anawaonea wivu.
Mkuu akili yako usiifanye kama gari la taka kubeba kila unachosikia fanya tathmini ya kina kwanza.
Wanasema kitanda hakizai haramu ila mwamba sasa analea mtoto si wakeJamaa anafaidi misimbazi tu afu anajifanya anavimba nyumbani kumbe wife anamwona kolo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
hii ni kweli kabisa na naiona hata kwa mrs wangu,najua ananyanduliwa,ila kwakuwa sitaki kuharibu ndoa,amani ya nyumbani na bond tuliyojenga na watoto,nimeamua kukaa kimyaaaa"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.
Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?
Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.
Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.
Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?
Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?
Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Dah tukae kimya tuhii ni kweli kabisa na naiona hata kwa mrs wangu,najua ananyanduliwa,ila kwakuwa sitaki kuharibu ndoa,amani ya nyumbani na bond tuliyojenga na watoto,nimeamua kukaa kimyaaaa
Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
Baada ya kupitia maelezo yako yote nimebaini yafuatayo;"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.
Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?
Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.
Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.
Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?
Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?
Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Hebu nitolee Upuuzi na Uharo wako.Baada ya kupitia maelezo yako yote nimebaini yafuatayo;
1.wewe ni kijana ambae bado haujapevuka kifikra & kimawazo, yaani bado upo foolish age(samahani ashakum si matusi na sina lengo la kukutusi ndugu)
2.siwezi kuwalaumu ww na huyo dada maana hapo ndipo upeo wenu w kufikiri ulipoishia.
3.Kosa kubwa nililoliona ni ku generalize kuwa wanawake wooote atleast angetumia waliowengi kdg labda ingekuwa na mashiko.
4.Asichokijua ni kuwa kugongewa ipo tu, unagongewaje itategemea na aina ya mwanamke uliye nae , ukiwa na mshenzi hataumfungulie biashara, hata umfungie ndani 24/7 atagongwa tena humo humo ndani akikosa kabisa wakumgonga atampa hata ndugu yako kama sio mlinzi kutokana na ushenzi wake.
5.mwanamke aliyelelewa, mwenye staha, mwenye hofu ya mungu na anaejitambua ata ikitokea ukagongewa bahati mbaya basi kunasababu tena mara nyingi umesababish ww na atafanya hivyo kwa heshima.
6.Maofisini kumechafuka sana tena sana wanawake wanagongwa kwelii ila ni tabia y mtu wapo wanaojiheshimu kiasi hata kutongozwa tu wanaogopwa, kinachowaponza ni tamaa na kujilainisha wenyewe hakuna anebakwa