Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Sasa kama Mkeo Mimi ndiyo Boss wake hapa Ofisini Kwetu na Namkaza Kutwa ili apate Safari zenye Allowances Kubwa kwanini nisiamini?

Halafu anajua kweli kweli Kunikatia Kiuno chake Fally Ipupa anasubiri. Ulimuokota wap? Na kwanini huwezi Kumtosheleza?
Kiuhalisia hakuna mwanaume aneweza kumtosheleza mwanamke kwa kila kitu, mwanamke ni kiumbe kinachoendeshwa na hisia.
Usjisifu kula wake za watu ipo siku utapoteza marinda.
 
UNAJIONA UMEONGEA POINT KUCHANGAMSHA GENGE LA JF


NATAKA NKUAMBIE UMEONGEA PUMBA TENZA ZA MPUNGU TAKATAKA
Ukweli siku zote unauma
Nasiku zote msema kweli hapendwi
Mke wako au demu wako kashakuwaga demu wa mtu,tena kaliwa sana,,
Bikra umemvunja wewe??
Sasa unajitamba nini kama haujamvusha bikra??

Siku ukikuwa utaamini nacho kisemo wewe bado mtoto huwezi pewa siri za kikubwa
 
Ukweli siku zote unauma
Nasiku zote msema kweli hapendwi
Mke wako au demu wako kashakuwaga demu wa mtu,tena kaliwa sana,,
Bikra umemvunja wewe??
Sasa unajitamba nini kama haujamvusha bikra??

Siku ukikuwa utaamini nacho kisemo wewe bado mtoto huwezi pewa siri za kikubwa

Wewe ndo mtoto.

Kwahyo kwa kuandika haya unakiri kuwa mama yako mwenyewe alikuwa anachepuka waziwazi na ikapelekea mkapatikana watoto mliokuwa na baba tofauti na hvyo alikuwa anaenda nje ya ndoa miaka yake yote ya ujana

Tupe ufafanuzi sasa!
 
Ukienda kutibiwà hospitalini,tafadhari ndugu yangu,pendelea kupatiwa matibabu na daktari wa kiume.Utakuja kunishukuru baadae.Tambua baadhi ya madaktari wa kike,hupewa feva katika masomo yao.
 
Wewe ndo mtoto.

Kwahyo kwa kuandika haya unakiri kuwa mama yako mwenyewe alikuwa anachepuka waziwazi na ikapelekea mkapatikana watoto mliokuwa na baba tofauti na hvyo alikuwa anaenda nje ya ndoa miaka yake yote ya ujana

Tupe ufafanuzi sasa!
Ebu jielewe
Ukweli wacha usemwe.
Asilimia 55 wanaume wanaishi na watoto wasio wao.
Wanawake wote malaya,mtu kama sister(katoliki) anachepuka na padre sembuse mtu wakawaida.
Kipindi cha miaka 18 mpaka 36 kwa mwanamke anakuwa na mshawasha wa mapenzi sana,sasa kama mwanaume utakuwa bize na kazi au huwezi kumtosheleza mke wako lazima uchapiwe tu.
Ukweli usemwe vijana wa sasa mazoezi hakuna:bao moja chali tena unageukia pembeni sasa kwa kweli siutachapiwa.
 
Ebu jielewe
Ukweli wacha usemwe.
Asilimia 55 wanaume wanaishi na watoto wasio wao.
Wanawake wote malaya,mtu kama sister(katoliki) anachepuka na padre sembuse mtu wakawaida.
Kipindi cha miaka 18 mpaka 36 kwa mwanamke anakuwa na mshawasha wa mapenzi sana,sasa kama mwanaume utakuwa bize na kazi au huwezi kumtosheleza mke wako lazima uchapiwe tu.
Ukweli usemwe vijana wa sasa mazoezi hakuna:bao moja chali tena unageukia pembeni sasa kwa kweli siutachapiwa.

Hujajibu swali langu.

ngoja nkusaidie, Inawezekana ulikulia mazingira ambayo ulikuwa unayaona hayo yote na ukayaona ya kawaida na mpka sasa imekuwa hofu yako kisaikolojia na unaamini kuwa ukioa au kama umeshaoa kuwa watakuchapia/wanakuchapia mke wako.

Ama itakuwa umelelewa na singo maza ambaye alikuwa na tabia hizo.

Nataka nikuambie kuwa katikati ya dhoruba kubwa huwa kuna tumaini ya kuiona ardhi/kisiwa
namaanisha hata dunia iweje au wanawake waweje wale honest and principled women watakuwepo TU!
 
Hivi nyie ni wanafunzi wa vyuo nini??Mbona mnaongea as if hamko mtaani...hivi mtaani huku watu wanaulizana GPA....wanawake ni opportunist..huku mtaani ni cash.na uwezo wa kussuport na kuhudumia...mwanamke GPA yako aipekeke wapi..hao labda ni watoto wenzenu huko..mnaongea kwenye fantasy zenu..
Huku mtaani mwanaume ni kutafuta cash na mafanikio tu basi...wanawake wanataka uhakika wa maisha...
Topic Closed.
 
Rushwa ya ngono ipo sana kwenye ofisi zetu hasa kwa wanawake nimeshuhudia wanawake wenyewe wakinifata na kunidokeza juu ya bosi fulani kumtaka kingono ni vitu ambavyo vipo kwenye jamii yetu naona kuna baadhi wanapinga.

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Wote wanaopinga hakuna Rushwa ya Ngono ni 'damn Fools' na ikiwezekana wakae mbali kabisa na huu Uzi Wangu.
 
1. Unaencourage gender discrimination.
2. Unafanya wanawake wawe Kama vyombo vya kutumia.
3. Unadiscourage maendeleo ya wanawake because of ur own insecurities.
Kama unataka demu wako asichepuke mpe kazi wewe plus ni mwili wake na maisha yake. The notion kwamba wanawake makazini wakirudi niniliu sijui zipoje that is very wrong, kwa hiyo wanawake wanaenda kazini kila siku kujiuza au sio. Mtu mzima mwenye akili zake timamu hawezi fikiria huu upuuzi. Tafuta kazi au elimu na wewe ukae ofisini uone hali halisi
Utter Nonsense.
 
Ukienda kutibiwà hospitalini,tafadhari ndugu yangu,pendelea kupatiwa matibabu na daktari wa kiume.Utakuja kunishukuru baadae.Tambua baadhi ya madaktari wa kike,hupewa feva katika masomo yao.
Nimeliona hill hasa Massana na Lugalo Hospitals japo nasikia hata Muhimbili National Hospital ndiyo limeshaota kabisa Mizizi hasa Wodi ya Watoto.
 
Ebu jielewe
Ukweli wacha usemwe.
Asilimia 55 wanaume wanaishi na watoto wasio wao.
Wanawake wote malaya,mtu kama sister(katoliki) anachepuka na padre sembuse mtu wakawaida.
Kipindi cha miaka 18 mpaka 36 kwa mwanamke anakuwa na mshawasha wa mapenzi sana,sasa kama mwanaume utakuwa bize na kazi au huwezi kumtosheleza mke wako lazima uchapiwe tu.
Ukweli usemwe vijana wa sasa mazoezi hakuna:bao moja chali tena unageukia pembeni sasa kwa kweli siutachapiwa.
Topic Closed.
 
Hujajibu swali langu.

ngoja nkusaidie, Inawezekana ulikulia mazingira ambayo ulikuwa unayaona hayo yote na ukayaona ya kawaida na mpka sasa imekuwa hofu yako kisaikolojia na unaamini kuwa ukioa au kama umeshaoa kuwa watakuchapia/wanakuchapia mke wako.

Ama itakuwa umelelewa na singo maza ambaye alikuwa na tabia hizo.

Nataka nikuambie kuwa katikati ya dhoruba kubwa huwa kuna tumaini ya kuiona ardhi/kisiwa
namaanisha hata dunia iweje au wanawake waweje wale honest and principled women watakuwepo TU!

Topic Closed.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi nyie ni wanafunzi wa vyuo nini??Mbona mnaongea as if hamko mtaani...hivi mtaani huku watu wanaulizana GPA....wanawake ni opportunist..huku mtaani ni cash.na uwezo wa kussuport na kuhudumia...mwanamke GPA yako aipekeke wapi..hao labda ni watoto wenzenu huko..mnaongea kwenye fantasy zenu..
Huku mtaani mwanaume ni kutafuta cash na mafanikio tu basi...wanawake wanataka uhakika wa maisha...
Nimeandika kuhusu mwanamke aliyefanikiwa kusonga mbele achana na WA mtaani, Ina maana hakuna lecturer mwanamke?
Mwanamke unatakiwa umzidi karibia kila kitu la sivyo utatuletea Uzi apa.
By the way mi sio mwanafunzi wa Chuo Kikuu chochote mi naeleza mambo niliyokutana nayo.
 
Office ni watu,kwa hiyo hii JF tayari ni office maana mishe humu zinaendelea Kama kawa!!
Sidhani kama ukiongelea ofisi utaiweka JF kuwa ni miongoni.

Sidhani kuwa ukiongelea ofisi na jinsi majukumu ya ofisi yanavyotambulika na wengu (mfano ofisi za idara flani, ofisi za wakuu wa shule, ofisi za serikali kama halmashauri) pia utaiainisha JF hii.

Unataka kusema kuwa tunavyowasiliana hapa JF tuko ofisini?
 
Back
Top Bottom