Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Mchangiaji Malumbano ya Hoja ITV na Radio One: Wanawake wengi Walioajiriwa Maofisini walitoa na wanatoa bado Rushwa ya Ngono

Malays ni malaya hata awe mama wa nyumbani full time abatement hata na muuza genge akiaha kwenda kusuka nywelw.anamalizana huko.huko,akienda sokoni anamalizana huko huko,ukitoka kidogo tu hesabu maumivu

Kifupi vigumu kudhibiti mwanamke malaya
Malaya ni kama kunguru hafugiki
 
Na ukaamini kweli wewe ni Popoma Promax
Sasa kama Mkeo Mimi ndiyo Boss wake hapa Ofisini Kwetu na Namkaza Kutwa ili apate Safari zenye Allowances Kubwa kwanini nisiamini?

Halafu anajua kweli kweli Kunikatia Kiuno chake Fally Ipupa anasubiri. Ulimuokota wap? Na kwanini huwezi Kumtosheleza?
 
Wanawake wanataka wanaume bora bro, ni nature tu hii.

Ni sawasawa na wewe Leo umuoe mwanamke ni lecturer wa chuo Kikuu alaf wewe hata 3.5 G.P.A hujafikisha na hujamzidi yeye Kwa mshahara, lazima akudharau.

Mi nilishuhudia hiki kitu, demu aliwahi kututongoza wote wawili , Mimi hakunipenda sana kwa kuwa sikuwa na ubora katika elimu kama jamaa yangu ila alinijaribu ikiwa atamkosa jamaa, demu alikuwa anamtumia pic akiwa na kanga tu tena ni msichana wa Kiislamu. Hapa nikaelewa kitu, kuwa bora, uta-attract wanawake na wao ndo watatumia nguvu ya kuwa na wewe na watakupenda sana.
Hivi nyie ni wanafunzi wa vyuo nini??Mbona mnaongea as if hamko mtaani...hivi mtaani huku watu wanaulizana GPA....wanawake ni opportunist..huku mtaani ni cash.na uwezo wa kussuport na kuhudumia...mwanamke GPA yako aipekeke wapi..hao labda ni watoto wenzenu huko..mnaongea kwenye fantasy zenu..
Huku mtaani mwanaume ni kutafuta cash na mafanikio tu basi...wanawake wanataka uhakika wa maisha...
 
Hivi nyie ni wanafunzi wa vyuo nini??Mbona mnaongea as if hamko mtaani...hivi mtaani huku watu wanaulizana GPA....wanawake ni opportunist..huku mtaani ni cash.na uwezo wa kussuport na kuhudumia...mwanamke GPA yako aipekeke wapi..hao labda ni watoto wenzenu huko..mnaongea kwenye fantasy zenu..
Huku mtaani mwanaume ni kutafuta cash na mafanikio tu basi...wanawake wanataka uhakika wa maisha...
Mchawi kibunda utakula mbususu mpaka uchoke
 
Yote haya yafaa nini basi ilihali nasi ni mavumbi? Hakika zinaa ni kama maji ya moto kamwe haikati kiu. Yote haya ni kukosa mipaka kwa me au ke na ni tabia ya kujiendekeza. Haya mambo sidhani kama yapo kwenye nchi za watasha kama japan , korea n.K
 
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.

Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?

Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.

Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.

Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?

Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?

Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
1. Unaencourage gender discrimination.
2. Unafanya wanawake wawe Kama vyombo vya kutumia.
3. Unadiscourage maendeleo ya wanawake because of ur own insecurities.
Kama unataka demu wako asichepuke mpe kazi wewe plus ni mwili wake na maisha yake. The notion kwamba wanawake makazini wakirudi niniliu sijui zipoje that is very wrong, kwa hiyo wanawake wanaenda kazini kila siku kujiuza au sio. Mtu mzima mwenye akili zake timamu hawezi fikiria huu upuuzi. Tafuta kazi au elimu na wewe ukae ofisini uone hali halisi
 
Tena baada ya Kusema hivyo Mtangazaji wa Zamu Jana Kapalatu akamwambia arekebishe aseme baadhi Yeye akakomaa pale pale kwa kusema ni Wanawake wote huku akijiamini kabisa hadi nami nikampenda kwani kasema Ukweli mtupu japo Wanafiki watampinga na hata Kumkosoa hapa.
Aise apewe maua yake kausema ukweli. HATA mimi niko na mindset kama yako. Kila siku hapa jf naeleza jinsi mwanaume smart hawezi kuoa mwanamke mwenye ajira lazima uchapiwe na ukichapiwa lazima mwanamke akudharau.

kwanza mwanamke mwenye ajira utii wake hua kwa boss wake na wala sio mumewe yuko radhi amuudhi mume wake ila sio boss.
 
Shida wanaume wanavyoongelea wanawake huwa wanatazama tu wale wa nje.
Ukimuuliza hata mama yako? Atakujia juu
Mke wake? Matusi na ugomvi
Je Dada zako? Atataka mheshimiane
😅😅 Binti zake ndio mtapigana

Lakini kusema vibaya wanawake ni mstari wa mbele.
Haya mambo katika jamii yapo kwa sasa yamekua kiuchache sababu watu wako na awareness

Lakini pia ni matakwa ya mtu kutoa au la

Hivyo si jambo la wanawake wote
Ni baadhi tu
 
Aise apewe maua yake kausema ukweli. HATA mimi niko na mindset kama yako. Kila siku hapa jf naeleza jinsi mwanaume smart hawezi kuoa mwanamke mwenye ajira lazima uchapiwe na ukichapiwa lazima mwanamke akudharau.

kwanza mwanamke mwenye ajira utii wake hua kwa boss wake na wala sio mumewe yuko radhi amuudhi mume wake ila sio boss.
Ndo maana hauendelei...Imani potofu za kizamani abt gender roles. Ukitaka mwanamke awe chombo ukamweka tu ndani Kama sehemu ya kumwagia utaenjoy sawa lakini in the end of the day anakuwa Kama Malaya wa mkataba. We ukiwa na ajira nzuri ye ana ajira nzuri, mnakuwa mnaendelea mnaweza kuendeleza plans zenu nyumba magari watoto kuwa na maisha mazuri ndo maana watu wanatafuta wanawake wenye elimu na ajira siku hizi hayo Mambo ya kutafuta sijui bikra ni kuwa na maono mafupi.. ehe una mke wako bikra hajasoma Hana lolote unafanya nini next, utajisifia tu mke wako yupo ndani tu unamla halafu nyumba ipo hovyo hamli vizuri nae unakuwa humuendelezi mwishowe anaona ndoa Kama utumwa. Huu ndo ubaya wa ndoa nyingi especially za uswahilini mnakuwa mnaishi tu msife basi
 
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.

Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?

Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.

Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.

Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?

Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?

Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Okay ila sio wanawake wote, baadhi yao hajapitia hayo usemayo!...... Ila naweza kukiri kuwa ni wachache coz wanawake wenyewe hawajitambui hivyo wanajinya miili yao kama business .... pia hata kama hakuingia kwa rushwa ya ngono ila baada ya kupata kazi unaweza ona anaanza kutoka na Boss... Hii ni kutokana na kywepo na ushindani wa wanawake kazini nani anapendwa na boss!
 
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake" amesema Dada Mchangiaji wa Kipindi cha Malumbano ya Hoja cha ITV na Radio One ambacho kwa Siku ya Leo kilijikita zaidi katika Suala zima la Rushwa na Udhibiti wake.

Sasa kama Mwanamke Mwenyewe ameshakiri kuwa Wake za Watu na Mademu zao Walioko Maofisini wamepata Kazi (Ajira) hizo na Vyeo walivyonavyo kwa Kubanduliwa na Wakubwa ( Mabosi ) na kwamba mpaka leo bado (Wanabanduliwa) bila Huruma Mimi GENTAMIYCINE ni nani nibishe au nimpinge?

Mlio na Wake na Mademu zenu huko Maofisini huku Wengine wakiwa ni Mabosi nawapeni Pole nyingi kwani huenda Usiku mkiwa nao Majumbani mwenu huwa mnakula Makombo tu kwani tayari naniliu zao zinakuwa zimechakazwa na kutifuliwa mno na Mabosi zao huko Maofisini.

Ndiyo maana wenye Akili hatutaki Wake na Mademu zetu wakafanye Kazi Maofisini ila tutajichanga na Kuwafungulia Miradi Majumbani au Kushirikiana nao Ng'adu kwa Ng'adu katika Shughuli zetu huku tukiwa tunawaona na Kuwadhibiti kiurahisi.

Yaani kabisa GENTAMIYCINE niwe na Mke / Demu mkali kama Shunie na cocastic ambaye Boss adriz anawatamani katika Kampuni / Ofisi yake halafu nimruhusu akatafute Ajira (Kazi) kule?

Hivi siionei Huruma kweli hiyo ( Naniliu ) yake kwa jinsi itakavyochakatwa bila Huruma kisha Jioni ikirejea Kwangu nakuta Makombo tu ya Mabosi / Wakubwa wa Maofisini?

Kesho tarehe 7 July ni Public Holiday ( Sikukuu ya Saba Saba ) hivyo zinapumzishwa na Mabosi hawazipati hivyo GENTAMIYCINE nawasihi kuanzia Usiku huu zitumieni vizuri tu huko Majumbani / Maghettoni mwenu kwani kuanzia Jumatatu ijayo hadi Ijumaa ijayo itakuwa ni zamu za Mabosi / Wakubwa zao Maofisini na nyie Waume na Mabwana Kula tu Makombo na wakati mwingone hata ukipangiwa Idadi ya Mabao ya Kupiga kwakuwa anakuwa ameshachoshwa sana Kingono Ofisini na Mkubwa / Bosi.
Mtoa post ana kitu cha msingi asipuuzwe,

Hii Ni kwl kabisa,,

Ukimuacha mpnz au mke afanye Kazi ni kumpeleka kwenye mdomo wa mamba.
 
"Wanaume mlioko hapa katika hiki Kipindi cha Malumbano ya Hoja naomba niwaambieni Ukweli kama una Mke au Mpenzi wako anafanya Kazi Ofisi yoyote ile jua ya kwamba kapata hiyo Kazi na Cheo kama anacho kwa kutoa Rushwa ya Ngono na bado anaendelea kuitoa mpaka sasa ili Kulinda hiyo Ajira yake na hicho Cheo chake"
1688706617328.png
Chanzo | Usawa Wa Jinsia
 
Back
Top Bottom