Mchango kwa wanawake

Mchango kwa wanawake

murugalama

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2012
Posts
231
Reaction score
81
Wakuu kwanza naanza kwa salamu. Mke wangu amekuwa na tatizo la mchango mara kwa mara, amejaribu kutumia dawa za wamasai bila mafanikio na hivi karibuni alikuwa na ujauzito ambao umetoka. Wajuzi wa mambo naombeni kujua ni ipi dawa ya mchango ili niweze kumnusuru mke wangu kwa tabu na shida anazozipata, kwa ujumla mimi ni mbumbumbu wa mambo haya.
 
Ili uweze kupata tiba sahihi ni lazima kujua historia (diognosis) ya ugonjwa.Hivyo nakushauri tuwasiliane kwa namba 0776 217417 unaweza kupata utatuzi wa tatizo la mkeo
 
Ili uweze kupata tiba sahihi ni lazima kujua historia (diognosis) ya ugonjwa.Hivyo nakushauri tuwasiliane kwa namba 0776 217417 unaweza kupata utatuzi wa tatizo la mkeo

Mkuu ORMAASINDA nimekupata nitakutafuta muda si mrefu
 
Na usisahau kumpeleka hospitali. Hakuna kisicho tibika. Poleni sana.
Asante King'asti kwa ushauri lkn hospitali tumefika na kupatiwa dawa, hata hivyo tatizo lilitulia kwa muda na kurudi tena
 
Pia ongea na watu wazima wengi wanajua dawa za michango. Huwa wanatibu kulingana na aina ya mchango. Poleni
 
jaribuni pia kwenda katika hospitali za mitishamba mtapata tiba,poleni sana
 
Asante raymaige na Mtende kwa ushauri wenu ambao unanijaza nguvu ya kutokata tamaa
 
Back
Top Bottom