Mchango Mh Joseph Mbilinyi(Sugu) toka amekuwa Mbunge kwa vijana wanao tegemea sanaa kama ajira


Ukweli ni kwamba Ruge ni muhimu kwenye hii tasnia maana ni mdau na Clouds media na Ipp media ndio vyombo vinavyo tumiwa sana na wasanii kupromote kazi zao hilo halina ubishi.
Hivi kwanini mnafikiri hao wasanii nao hawana tatizo?
 
Huyu hawezi kuwa na mchango wa maana hata siku moja hata sina haja ya kufuatilia hotuba zakeee
 
HABARI KAMA HIZI ZIMAAAAAAAAAAAAAAAA mleta mada yupo kisiasa zaidi na kaegemea upande wa wafu fm
 
Harakati zake za anti virus zimewafanya wasanii wanaojua kuimba wajitambue kuwa wanaweza bila kubebwa na media flani flani na kudhihirisha nguvu ya umma a.k.a mashabiki ndio wenye uamuzi sio media

vinega imekufa, sugu amewasaidia sana wasanii wa vinega kuvuta bangi na kuwa mateja
 
Mmekazaana ruge ruge ruge ruge....!! Hyo wafu fm ya kinafki sana hyo..! Tangu nijue nyuma ya pazia lao kuna nn! Aaah nkawa natyun 93.7, magic, ear, timez na tbc taifa. Nkazimaaaaaa wanafk fm..!! Sasa wajiandae na ujio wa Efm 2naxubr prgrms zake kwa hamuuuuu!!
 

Naona unarudi pale pale...kwanza nasisitiza wasanii si wa muziki pekee...na Sugu ni waziri kivuli anayepaswa kusimamia sanaa zote na ndio maana anafeli coz akili yooote kaweka kwenye muziki na kushindana na Ruge.

Na huo ndio udhaifu unaomnyima hadhi ya kuwepo pale...hiyo studio inayoimbwa kila kukicha ina gharimu shilingi ngapi ?...miaka yooote hapo kivulini ameshindwa kuhamasisha ndugu, jamaa, marafiki, wanachama au wadau wa muziki kutengeneza studio mbadala ?...kama Vicky alichangisha karibu milioni mia moja kwa ajili ya harusi, ni vipi Sugu yeye kabaki kuumiza kichwa afanye nini kupambana na Ruge.

Na tusiseme wasanii wa Dar kuwa ndio wanamajibu ya wasanii woote wa mikoani...na sio ushujaa kwa wasanii wote kuhama kwao na kuja kusongamana Dar....kwa kuwa wabunge ni wahanga wa hiyo kasumba basi isihalalishwe kuwa Dar kuna majibu ya nchi nzima....muda wote ameshindwa hata kutenga siku moja kwa mwezi kufika mkoa mmoja na kuwasikiliza, kuwashauri na kuwahamasisha wasanii ?

Nadhani Sugu, dhamana waliyompa ni kwa ajili ya nchi nzima....unless unipatie taarifa tofauti na hiyo leo hii.

What I need from Sugu ? mmmmmmh.....nadhani muda aliokwishakaa hapo ameshanidhihirishia kuwa hana uwezo wa kusaidia sanaa na wasanii kama waziri kivuli.........so, nadhani nimuache alale.
 
Mkuu FYATU, hawa wanao mtetea Sugu wanatakiwa kujua kuwa Sugu hawezi kupata ushiikiano wa wasanii kama ataendelea na Migogoro na kujihusisha na Migogoro ya makundi.

Hata hilo swala la studio lengo la Sugu lilkuwa ni kupambana na Ruge wala si kuwasaidia wasanii na ndio maana hilo swala halifatilii tena baada ya kuhakikisha ameshinda dhi ya Ruge.
 
Last edited by a moderator:
Hapa swala la Msingi ni kuhakisha migogoro ina tatuliwa na hata kama Radio zitaendelea kuanzishwa lakini Clouds fm ataendelea kuwa mdau wa sanaa kama vyombo vya habari vingine.

Na hii Migogoro wala haijengi.
 
Usitake kuuthibtishia uma kuwa kabila lako limebobea kwa majungu!
 

Nyie wahaya mbona mna ukabila sana? Kwa hiyo Ruge kwa kuwa Ni mhaya mwenzio Nshomile, hana makosa.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mleta mada ukiangalia post zake nyngi n kuisifia clouds..
Hvo najua anachohitaji..
ATAWATETEAJE WASANII WAKATI HAWAMUUNGI MKONO:??(REF::ant virus sagga)
 

Hili ndio tatizo kubwa tulilonalo waTZ, tunataka mtu fulani "atufanyie" au "atusaidie" kufanya kitu fulani bila sisi wenyewe kufanya lolote. Huyo Sugu hata afanye nini kama wasanii wenyewe hawatasimama kudai haki zao itasaidia nini? By the way alipokuwa akigombea ubunge wasanii walio wengi walimbeza na baadhi yao kukipigia debe chama tawala sasa hata ungekuwa ni wewe ungekuwa na moyo wa kuwasaidia watu hao?

Pamoja na mapungufu yake ya kibinadamu, ni msanii gani aliyepinga unyonyaji kwenye tasnia ya muziki zaidi ya Sugu? Hao mnaotaka awatetee wengi ndio walikuwa upande wa wanyonyaji wakimshambulia. Kuhusu Uwaziri kivuli let's be realistic, kwa mfumo wetu wa uendeshaji wa Serikali Mawaziri kivuli hawana impact yoyote kwani Serikali haijawahi na wala haitawahi kuwasikiliza. Huwa tunawaona wakati wa Bunge wakiwasilisha altenative budgets, policies n.k. Baada ya hapo huwasikii tena mpaka Bunge linalofuata.

Mwisho hapo kwenye red naona mwenyewe umeshaonyesha mchango wake, sasa kama wadau wa sanaa ni wanyonyaji si ni lazima waambiwe? Wewe ulitaka asaidie vipi tena?
 
Sugu ni mbunge wa mbeya na sio mbunge wa viti maalum wa sanaa
 
Sugu kapigania sana muziki wa bongo kuwa hapo ulipo. Alipigania sana serikali kuwapa wasanii studio yao ikaishia mikononi mwa kina ruge kwa ushirikiano wa wasanii wenyewe. Na huwezi unganisha wasanii pamoja wakati mna itikadi tofauti, ni lazima siasa zitaingia tuu.. Kuna wasanii wao kutwa kuvaa nguo za kijani unadhani watakaa pamoja na kupigania haki zao? Na ccm wanakuahidi mambo mengi kabla hawajakupata ukikubali tuu kuwa nao ndio mwisho wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…