Rosh Hashannah
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 3,415
- 2,043
Habarini wajamvi,
Leo nimeona tuone mchango unaotelewa na Coke Studio Katika Muziki wetu hapa Afrika. Coke Studio Africa imejitahidi sana kuleta na kuwakutanisha wasanii wengi barani Africa na duniani katika misimu tofauti.
Baada ya kuona nyimbo za wasanii wetu Ali Kiba na Rayvanny nikafurahi sana sababu nimezipenda sana. Rayvanny amefanya version ya wimbo wa msanii wa Angola Dji Tafinha uitwao imperfeito na Ali Kiba na msanii kutoka Nigeria Pantoranking uitwao katika ni nyimbo nzuri.
Msimu huu wametuletea Jason Derulo. Msimu uliopita walituletea Neyo. Wamefanya mengi.
Nawapa sifa zao. Sijui msimu ujao utakuwaje. Wasanii wengi wamehusika kama Diamond Platinumz, Yemi Alade, Sauti Sol, 2baba, Nyashinski, Bahati, Cassper Nyovvest, Bebe Cool, Izzo Bizness, Ruby, Vanessa Mdee na wengne wengi...
Leo nimeona tuone mchango unaotelewa na Coke Studio Katika Muziki wetu hapa Afrika. Coke Studio Africa imejitahidi sana kuleta na kuwakutanisha wasanii wengi barani Africa na duniani katika misimu tofauti.
Baada ya kuona nyimbo za wasanii wetu Ali Kiba na Rayvanny nikafurahi sana sababu nimezipenda sana. Rayvanny amefanya version ya wimbo wa msanii wa Angola Dji Tafinha uitwao imperfeito na Ali Kiba na msanii kutoka Nigeria Pantoranking uitwao katika ni nyimbo nzuri.
Msimu huu wametuletea Jason Derulo. Msimu uliopita walituletea Neyo. Wamefanya mengi.
Nawapa sifa zao. Sijui msimu ujao utakuwaje. Wasanii wengi wamehusika kama Diamond Platinumz, Yemi Alade, Sauti Sol, 2baba, Nyashinski, Bahati, Cassper Nyovvest, Bebe Cool, Izzo Bizness, Ruby, Vanessa Mdee na wengne wengi...