Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Mimi nataka kujua mchango uliombwa kwa wazalendo wote tuchangie kesi ya bandari iliyo funguliwa na wakili msomi mwaa........ lengo la mchango uho ilikuwa ni kusaidia kesi nataka kujua ulifikia wap?
Je walisema kuwa mchango umetosha?
Je walipata kiasi gani?
Matumizi yake?
Je watz au wazalendo hatutakiwi kuchangia tena?
Ilo Bango silion tena twitter
Je walisema kuwa mchango umetosha?
Je walipata kiasi gani?
Matumizi yake?
Je watz au wazalendo hatutakiwi kuchangia tena?
Ilo Bango silion tena twitter