Mchango wa kuwezesha kesi ya bandari umefikia wapi?

Hapana uho ni wizi bhna tena wizi mkubwa
Kwani wanaochangisha kuna wachaga wangapi na wanyakyusa wangapi???🤣🤣🤣..
Kwani wanyakyusa kwenye makanisa yao ya upako si mnachanga Tu kusubiri upako??

Hili la Bandari subirini upako tu 🤣
 
Kwani wanaochangisha kuna wachaga wangapi na wanyakyusa wangapi???🤣🤣🤣..
Kwani wanyakyusa kwenye makanisa yao ya upako si mnachanga Tu kusubiri upako??

Hili la Bandari subirini upako tu 🤣
Kaka hapa watupe feedback upako uwa tuna paka mafuta wachaga huwa tunakunywa pombe na kula nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…