Sawa, kwa iyo hauna fani yoyote zaidi ya form 6 na mdogo wako form 4. Unaweza ukanunua nyumba 2 zisizozidi milion 50 had 60 kila moja kisha mkawa mnapata kodi ambayo ni laki 3 had 4 kwa mwez kwa kila nyumba, na au ukanunua bajaji 2 au bajaji moja na suzuki carry moja na kila siku ukawa unaletewa elf 30 had elf 40 kwa siku. Pia unaweza ukanunua hisa salama ambazo zina interest ya 10-12% kwa mwaka ukilinganisha na fixed deposit ambayo unapata 3-6% kwa mwaka. Au pia unaweza ukaja mkoani kama huku kilombero kisha ukanunua matrekta mawili mapya na ukaanza kuwalimishia wakulima mashamba yao na kila heka ni elf 45 had elf 50. Kiufupi ni kuwa tumia nusu ya hiyo hela kuinvest na nusu (mil 125) uiweke akiba lakini kwa kuiweka fixed deposit au kununua hisa kutoka kwenye kampun imara kama nmb,twiga cement, tcc, tbl, N.k waweza ni pm ukitaka tuongee vzur kwan mimi ni bussiness consultant na pia ni mtaalam wa mambo ya biashara.