Mchango wa mawazo

Na nyumba wapi utapata kwa 50 to 60m kwa sasa ndungu na upangishe kwa laki tatu mpaka nne mkuu Kayimukaa
 

Kayimukaa,nimependa namna ulivyomshauri Ameir.Ameir pitia ushauri huu wa Kayimukaa na wengine natumaini utafanikiwa.Bigup Kayimukaa.
 
Na nyumba wapi utapata kwa 50 to 60m kwa sasa ndungu na upangishe kwa laki tatu mpaka nne mkuu Kayimukaa

Mkuu! hiyo nyumba kupangisha mpaka hiyo pesa irudi na uanze kuingiza faida, sio leo
mi nashauri ukanunue hisa au ukawekeze kwenye kilimo cha umwagiliaji, hapo ndani ya mwaka umerudisha mara mbili ya hela yako!
 
uzuri wa kununua nyumba na kuipangisha ni kuwa una uhakika wa faida ya mtaj uliowekeza(risk free/very low risk), pia thaman na bei ya hizo nyumba hukua kadir ya miaka inavyoenda na mwisho unakua na uhakika wa mapato ya kila mwez mfano laki 3 au zaid ambazo kwa maisha ya kawaida si haba. Ukiongezea na kibajaji au suzuki carry 1 au 2 (elf 15 had 20 kwa siku@) na zinazobaki fixed deposit au hisa, ushauaga umaskini.
 
Hisa salama ndio zipi mkuu?
 

kuna bandiko huwa napitia mara 2 mpaka 3 kuhakikisha nimeielewa vema na kuiandika kwenye karatasi pembeni, kuhakikisha hazipotei.
Hii mojawapo.
 
Nunua nyumba au jenga nyumba sehemu nyingine pangisha ni uhakika pesa yako kutopotea itayobaki ndio ufikirie biadhara nyingine hata kma hatarnda sawasawa utakuwa na chanzo cha kudumu cha kodi ya nyumba
 
Nami acha nichangie huenda ikawa ni moja ya sababu ya wewe na nduguyo kutoka kimaisha.
Chukua milion 100 then 50 kwa 50 unapata nyumba nzuri za kisasa. Moja pangisha nyingine kaa na nduguyo.
Milioni 50 weka bank fixed accouny ifungie huko hata miaka miwili ijayo.
Hiyo mia iliyobaki weka Bank tafuta biashara inayolipa chukua mtaji mdogo anza nao itakuwa tu. Mfano: Nafungua duka la spare sehemu iliyo na garage nyingi ntauza na itazalisha.

KUMBUKA: DO NOT PUT ALL OF YOUR EGGS ON ONE BASKET.

TENGA HELA YA BIASHARA NDOGO NA USIINGIZE YOTE LA SIVYO UTALIA MJINI HAPA. NA KUWA MAKINI NA WATU MKUU. MUUMBA WAKO AKUTANGULIE UFANYE LA MAANA NA NDUGU YAKO.
 
Mchango ni huu; milion 50 nunueni nyumba hapo dar, mil 50 nyingne weka bank fixed au nunua hisa, hii iliyobaki chagua mkoa tengeneza mtandao wa biashara kati ya dar na mkoa huo kwa mil 50, mil 50 ingne huko mkoa nunua shamba hata heka 100, mil 50 iliyobaki nunua Trekta weka huko shamba kwa kazi zako na wakulima wengne. Gawaneni majukumu baina yako na mdogo wako.
 

michango yote imetulia, kilichobaki ni mtoa mada kutekeleza sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…