hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
- Thread starter
- #21
Kuna watu wanadhani utani ,mech kibao TU Simba Wapo vzr ,lkn kwa Yanga matokeo hapatiNiliamini yanga wameshindikana kwenye uchawi afrika mashariki kipindi kile simba iko vizuri kocha mwinyi zahera simba ilikosa clear chance 17 na beno kakolanya akawa man of the match ndo chanzo cha kusajiliwa simba huku kocha akiwa uchebe hapo ndo nikasema yanga ni next level kwenye uchawi.