MISSION IMPOSSIBLE IDEA:
1 - Tafuta frem moja ya biashara kisha lipia na uikarabati katika muonekano wa kiofisi ya kisasa.(weka mlango wa alluminium, air condition, meza, kiti, viti 2 vya wageni, kompyuta, printer, shelf / kabati nk ila usiweke tangazo lolote)
2 - Watangazie watu waaminifu unaowafahamu (ambao wana uwezo wa kuingiza hela kila siku na walio na shughuli nzuri na kubwa zinazowaingizia kipato, mfano wafanyabiashara na wafanyakazi wenye mishahara mizuri) watangazie kuwa unatoa mikopo ya marejesho ya mwezi mmoja kwa riba ya 30%, kuanzia Tsh 100,000 hadi milioni moja.
3- Weka lending policy and procedures ambazo zipo secured na sustainable katika utoaji wa huduma hiyo.
4 -Anza kutoa mikopo kwa mtaji wa kiasi utakachokuwa nacho baada ya process hapo juu. Amini kuwa kama utakuwa serious na kufuatilia ipasavyo, basi baada ya miezi 12 (mwaka 1) tangu ufungue hiyo kijiofisi chako utaweza kupata return nzuri kama ifuatavyo: mfano ukaanza na mtaji wa milioni kumi (working capital)
[TABLE="width: 500"]
[TR]
[TD]MWEZI
[/TD]
[TD]MTAJI (TSH)
[/TD]
[TD]RETURN (TSH)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]January
[/TD]
[TD]10,000,000
[/TD]
[TD]13,000,000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]February
[/TD]
[TD]13,000,000
[/TD]
[TD]16,900,000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]March
[/TD]
[TD]16,900,000
[/TD]
[TD]21,970,000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]April
[/TD]
[TD]21,970,000
[/TD]
[TD]28,561,000
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]May
[/TD]
[TD]28,561,000
[/TD]
[TD]37,129,300
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]June
[/TD]
[TD]37,129,300
[/TD]
[TD]48,268,090
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]July
[/TD]
[TD]48,268,090
[/TD]
[TD]62,748,517
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]August
[/TD]
[TD]62,748,517
[/TD]
[TD]81,573,072
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]September
[/TD]
[TD]81,573,072
[/TD]
[TD]106,044,994
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]October
[/TD]
[TD]106,044,994
[/TD]
[TD]137,858,492
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]November
[/TD]
[TD]137,858,492
[/TD]
[TD]179,216,040
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]December
[/TD]
[TD]179,216,040
[/TD]
[TD]232,980,851
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hivyo baada ya miezi 12, unaweza kuisajiri biashara yako na kuwa kampuni na kuifanya kuwa ofisi kubwa. Najua kutakuwa na matumizi mfano, kulipa mshahara kama kuna mtu utakuwa umemwajiri, umeme nk. ila gharama zake hazitakuwa kubwa za kuweza kukushinda kulipia kwa kutafuta fedha mbadala kutoka katika vyanzo vingine ili mtaji ubaki vile vile.
Ni wazo tu.