Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Mkuu umefafanua vizuri sana , nipe konekisheni basi ya mtaalamu super.
Connection Ni yesu KRISTO, pray hard that GOD can make you successful and not Rich,there are a lot of people who are rich but lack happiness and die earlier!
 
Sikupi connection Ila nakupa Siri ....
Dar es salaam Hakuna mganga kuna Wafanyabiashara..

Dar es salaam Hakuna miti...

Utajiri nenda iringa
mapeNzi nenda mbeya/Tabora
Kinga ya mwili kigoma/ sumbawanga...

Iyo ndio connection yangu kwako.
Incomplete information [emoji2320]
 
Mkuu kila mtu ashinde mechi zake, pengine na battle na baba paroko bila kujua. Nimekupa fact kama huamini we endelea tu mkuu.

Kuna tofauti kubwa sana ya watu mliozaliwa na kukulia masaki na sisi wa uswahilini huku Tembomgwaza!
Acha kujibizana na watu waliopambaniwa maisha na wazazi wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…