Mchawi wa love.

Mchawi wa love.

Yahemovich

Senior Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
170
Reaction score
3
Jamani mi najishangaa sijui nimerogwa yaani nikishamfunua tu msichana mara moja hata kama ni mrembo vipi sitamani hata kurudia tena hadi nipate mwingine nakuwa namuona kero nnachojali ni mahitaji yake yakimatumizi tu. Nashindwa kujielewa kabisa kuwa ninatatizo gani?
 
Eeehhh
Kweli umelogwa
Na umejiloga msada
wako uko kanisani,msikitini
au kwenye tempo..

Maana
Kwa maelezo
yako huta kaa u oe..
Ni kutanga na njia tu..

Kama hiyo
Ndio mentality
Uliyojiwekea kichwani
then i real fell so sorry for u..
 
Sikujiwekea ila nimegundua hali hiyo inanisumbu afrodenz ungejua siifurahii.!
 
utakufa na ukimwi ww??

unadhani ni sifa??
 
Wewe ni malaya tena una tamaa mbaya sana nenda kanisani/msikitini ukaombewe
 
In that case you are missing a lot dude; kama ukishamfunua tu unamuona kero, then hukuwa na mapenzi naye in the first place; what you should note is that mapenzi ni zaidi ya "kufunua" as you term it :disapointed:
 
Umejiroga mwnyewe! Na inakubd ujiague mwenyewe ndg! Utakuwa unasumbuliwa na pepo wa ngono ww! Wahi kwnye maombi upec kbla hujakutana na virus vya HIV! Pole sn kw kujroga.
 
Umejiroga mwnyewe! Na inakubd ujiague mwenyewe ndg! Utakuwa unasumbuliwa na pepo wa ngono ww! Wahi kwnye maombi upec kbla hujakutana na virus vya HIV! Pole sn kw kujroga.

niandalie sala ya maombi hapahapa Jamvini kabla karamu haijaliwa na uhakikishe udi,ubani na mishumaa vipo vyakutosha mchungaji mkuu usisahau kumwalika Lizzy maana akikemea yeye huyo pepo ulomwona hatabisha, nisindikizwe na Michelle ila baada ya hapo nifungishe ndoa na Dena Ams au Afrodenz akinizingua kimada wangu awe susy labda mshauri wakumsaidia Michele awe Husnayo ila nitapenda wale mapaka wawili Mweusí na Jimmy wawe washenga na best men.
 
Mapenzi??? Acha umalaya na umeshajigundua na hutaki kuchukua hatua??? Kila mara mwanamke mpya huogopi???

kuwa wa mwisho kwangu labda nitakupenda kila sekunde, dakika, siku, wiki, mwezi, miezi, mwaka, miaka, na milele. Maana umelijua tatizo japo sijaamin kuwa ndilo.
 
In that case you are missing a lot dude; kama ukishamfunua tu unamuona kero, then hukuwa na mapenzi naye in the first place; what you should note is that mapenzi ni zaidi ya "kufunua" as you term it :disapointed:

kufunua i ment after f**cking her.
 
hiyo ni roho ya giza ya umalaya.
tumepewa mamlaka yakukemea hata mapepo wachafu hivyo hata kabla hujaenda kanisani kemea kwa imani hiyo roho maana usipokemea mwisho wake ni mauti.
 
hiyo ni roho ya giza ya umalaya.
tumepewa mamlaka yakukemea hata mapepo wachafu hivyo hata kabla hujaenda kanisani kemea kwa imani hiyo roho maana usipokemea mwisho wake ni mauti.

yaani hapo ndio basi kabisa. Mnavyonitisha badala yakunipa solution sipati picha.
 
Wewe ni malaya tena una tamaa mbaya sana nenda kanisani/msikitini ukaombewe

Umalaya!! wakat ye anasema akishamfunua 2 anakua hana hamu nae tena "Anamfunua 2 wala hali 2ndi"
 
kw ajinsi nilivyosoma majibu yako wewe unatafuta kupandisha watu hasira tu wikiendi hii
huna hoja ya ukweli..
mie thimooooo
 
Back
Top Bottom