Mchawi wa love.

Mchawi wa love.

We utakua umeolewa na jini, ndo maana wanawake wana kukasirisha kwakua mumeo jini anaskia wivu, angalia vizuri charger yako itaisha mpaka utakua 50-50 au huwezi kabisa ku do, kaombewe hiyo ndoa yako na majini ivunjwe. We ni mke wa majini.
 
<p>
Jamani mi najishangaa sijui nimerogwa yaani nikishamfunua tu msichana mara moja hata kama ni mrembo vipi sitamani hata kurudia tena hadi nipate mwingine nakuwa namuona kero nnachojali ni mahitaji yake yakimatumizi tu. Nashindwa kujielewa kabisa kuwa ninatatizo gani?
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
<p>
Jamani mi najishangaa sijui nimerogwa yaani nikishamfunua tu msichana mara moja hata kama ni mrembo vipi sitamani hata kurudia tena hadi nipate mwingine nakuwa namuona kero nnachojali ni mahitaji yake yakimatumizi tu. Nashindwa kujielewa kabisa kuwa ninatatizo gani?
</p>
<p>&nbsp;</p>


tatizo lako ni hili una laana,
 
Jamani mi najishangaa sijui nimerogwa yaani nikishamfunua tu msichana mara moja hata kama ni mrembo vipi sitamani hata kurudia tena hadi nipate mwingine nakuwa namuona kero nnachojali ni mahitaji yake yakimatumizi tu. Nashindwa kujielewa kabisa kuwa ninatatizo gani?


Mods peleka hii sredi jukwaa la wakubwa, mi imenizidi umri.
 
Hukatulia pia inaonyesha una tatizo la kisaikolojia. Ushauri ni kuwa jengaurafiki wa muda mrefu bila sex hadi Hugo akae akilini usifanye harakA
 
nimekaelezea hapo juu dr kloro,nasubiria mmwage madozi yenu tufaidike wagonjwa:help:
hehehe hako kaugonjwa nazani unakutana na wale sura za ngamia! jarib kubadilisha vitaa. kuna sura ukigongana nazo tu libido yote inaenda holidei. (unaombwa usibishe: nina PHD ya somo la hormones)
 
hehehe hako kaugonjwa nazani unakutana na wale sura za ngamia! jarib kubadilisha vitaa. kuna sura ukigongana nazo tu libido yote inaenda holidei. (unaombwa usibishe: nina PHD ya somo la hormones)

Hahahaahahhaahahah hii PHD inaonekana ya kimagumashi,ila ntaifanyia kazi inaonekana kuna ka ukweli fulani...
 
Hayo ya mawe yametoka wapi?
Au umeanza kutafuta ushahidi?
 
kaka ukiachilia mbali tabia ya uhuni huenda pia ukawa na JINI MAHABA, tafuta watu wakushughulikie hutakaa na mwanamke
 
Mkuu nadhan wewe kinachotokea hapa ni kuwa unakosa hamu ya kuendelea kuwa nae kwa sababu unawatamani tuu na huna upendo wa kweli kwa hao akinadada unajifurahisha nao...yaan unakuwa na interest ya kuwatumia tuu yaan kuwaonja na kuacha....itakuwa ngumu kwako baadae kupata mke au kuwa na very serious relationship...jichunguze mkuu na pia uwe unaridhika na mmoja ili ujenge long term mahusiano
 
Wewe ni malaya tena una tamaa mbaya sana nenda kanisani/msikitini ukaombewe
Nadhani angekuwa karibu yako ungemchapa hata vibao maana naona umemsaidia kwa ghadhabu!!mi nadhani hana hatia kwani kufunua na kule then uone chakula si kitamu/kizuri kuna kosa gani?ipo siku atapata msosi wa maana na atatulia.
kijana BIG UP endelea kuzifunua hadi upate cha uvunguni!KEEP IT UP
 
Mkuu nadhan wewe kinachotokea hapa ni kuwa unakosa hamu ya kuendelea kuwa nae kwa sababu unawatamani tuu na huna upendo wa kweli kwa hao akinadada unajifurahisha nao...yaan unakuwa na interest ya kuwatumia tuu yaan kuwaonja na kuacha....itakuwa ngumu kwako baadae kupata mke au kuwa na very serious relationship...jichunguze mkuu na pia uwe unaridhika na mmoja ili ujenge long term mahusiano

ujue binafsi napenda sana kuwa na mpenzi mmoja ambaye hata akitoka katika shughuli zake au weekend anakuwa ananidekeadekea, au kunipigia hata simu kunisumbua kuniuliza niko wapi? Nafanya nini? Ilimradi ile raha ya mahusiano. Lakini wapi kila nikimpata nikasema huyu ndiye wa mwisho ntagharamika kwa vyovyote kumuhandle ila baada ya tendo tu baasi nakosa stimu nae hata tukiwa pamoja hamu ya mapenzi inapotea nikimfikiria nampenda ila nakua sijisikii kumdo tena hata anibembeleze chaajabu nakuwa nampenda zaidi anapokuwa mbali.
 
Back
Top Bottom