Yahemovich
Senior Member
- Jan 20, 2011
- 170
- 3
Wewe ni malaya tena una tamaa mbaya sana nenda kanisani/msikitini ukaombewe
umalaya nitaufanya saa ngapi wakati mapenzi yenyewe ya msimu.
Umejiroga mwnyewe! Na inakubd ujiague mwenyewe ndg! Utakuwa unasumbuliwa na pepo wa ngono ww! Wahi kwnye maombi upec kbla hujakutana na virus vya HIV! Pole sn kw kujroga.
Mapenzi??? Acha umalaya na umeshajigundua na hutaki kuchukua hatua??? Kila mara mwanamke mpya huogopi???
utakufa na ukimwi ww??
unadhani ni sifa??
In that case you are missing a lot dude; kama ukishamfunua tu unamuona kero, then hukuwa na mapenzi naye in the first place; what you should note is that mapenzi ni zaidi ya "kufunua" as you term it :disapointed:
pole kaka,,,njoo kanisani upate maombi
hiyo ni roho ya giza ya umalaya.
tumepewa mamlaka yakukemea hata mapepo wachafu hivyo hata kabla hujaenda kanisani kemea kwa imani hiyo roho maana usipokemea mwisho wake ni mauti.
Wewe ni malaya tena una tamaa mbaya sana nenda kanisani/msikitini ukaombewe