moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,904
- 4,902
Siku moja chukua CV yako, Kisha angalia sehemu ya REFEREE wako, Wapigie simu jifanye kama wewe ni Mkurugenzi wa Kampuni unataka kujua kuhusu wewe usikie Maoni yao.
Unaweza kukuta Mchawi wa Maisha yako yupo kwenye CV yako.
Utanishukuru Baadae
Unaweza kukuta Mchawi wa Maisha yako yupo kwenye CV yako.
Utanishukuru Baadae