Mchawi wa Simba ni Mashabiki na Wachambuzi uchwara

Mchawi wa Simba ni Mashabiki na Wachambuzi uchwara

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine

Walishinikiza uongozi kuingia sokoni na kumshawishi arudi na kuwekeza

Cha kushangaza viongozi Matapeli waliendelea kusajili magalasa zaidi ya waliokuwepo

Yaani Kwa kifupi usajili wa Simba hakuna mchezaji aliyeziba pengo la Saido, Onana, Kanoute, Sarr,Fred n.k

Walienda kuwasajili akina na Debora, Okajepha, Mutale, Karaboue, Nouma, Ateba, na Mukwala
Ambao kimsingi hao ni wabovu kuliko waliokuwepo mwaka Jana

Viongozi wa Simba walishindwa kuleta mbadala wa Shabalala ambaye kabisa anaonekana amechoka pia Kapombe

Yanga wao walijiimarisha na kuleta wachezaji wazuri na kushawishi waliokuwepo ambao walitakiwa na timu kubwa kama Pacome, Bacca, Job, Aziz, na Mzize

Viongozi matapeli walivogundua wamekosea wakaamua kuhonga wachambuzi ili kuisema vibaya ufadhili wa GSM

Hoja zao dhaifu

1. GSM anadhamini timu nyingi
GSM sio mmiliki wa Yanga
Yeye ni mfanyabiashara anatumia platform ya mpira kutangaza bidhaa yake
GSM hatangazi bidhaa zake tu kupitia mpira Bali ana mabalozi wengi maarufu kama Milard ayo, Kitenge, Ommy dimpoz n.k Kwe tv na redio bidhaa zake Huwa zinatangazwa, kwaiyo huko kote Huwa anahonga ili Yanga ishinde

2. Yanga anahonga
Kweli Kwa kikosi cha Yanga ni timu ya kumhonga KMC, Coast union au Prison ili kushinda

Simba atakuwaje bingwa ikiwa beki wao tegemeo ni Shabalala na Kapombe hawa wakiletewa akina na Pacome,Max Chama n.k

Simba atakuwaje bingwa ikiwa viungo ni Ngoma na Deborah

Wachezashaji ni Chasambi, Balua na Mpanzu

Simba atakuwaje bingwa ikiwa strikers ni Ateba na Mukwala

Uongozi wa Simba ndo tatizo kubwa, mashabiki lalamikia hilo
 
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine

Walishinikiza uongozi kuingia sokoni na kumshawishi arudi na kuwekeza

Cha kushangaza viongozi Matapeli waliendelea kusajili magalasa zaidi ya waliokuwepo

Yaani Kwa kifupi usajili wa Simba hakuna mchezaji aliyeziba pengo la Saido, Onana, Kanoute, Sarr,Fred n.k

Walienda kuwasajili akina na Debora, Okajepha, Mutale, Karaboue, Nouma, Ateba, na Mukwala
Ambao kimsingi hao ni wabovu kuliko waliokuwepo mwaka Jana

Viongozi wa Simba walishindwa kuleta mbadala wa Shabalala ambaye kabisa anaonekana amechoka pia Kapombe

Yanga wao walijiimarisha na kuleta wachezaji wazuri na kushawishi waliokuwepo ambao walitakiwa na timu kubwa kama Pacome, Bacca, Job, Aziz, na Mzize

Viongozi matapeli walivogundua wamekosea wakaamua kuhonga wachambuzi ili kuisema vibaya ufadhili wa GSM

Hoja zao dhaifu

1. GSM anadhamini timu nyingi
GSM sio mmiliki wa Yanga
Yeye ni mfanyabiashara anatumia platform ya mpira kutangaza bidhaa yake
GSM hatangazi bidhaa zake tu kupitia mpira Bali ana mabalozi wengi maarufu kama Milard ayo, Kitenge, Ommy dimpoz n.k Kwe tv na redio bidhaa zake Huwa zinatangazwa, kwaiyo huko kote Huwa anahonga ili Yanga ishinde

2. Yanga anahonga
Kweli Kwa kikosi cha Yanga ni timu ya kumhonga KMC, Coast union au Prison ili kushinda

Simba atakuwaje bingwa ikiwa beki wao tegemeo ni Shabalala na Kapombe hawa wakiletewa akina na Pacome,Max Chama n.k

Simba atakuwaje bingwa ikiwa viungo ni Ngoma na Deborah

Wachezashaji ni Chasambi, Balua na Mpanzu

Simba atakuwaje bingwa ikiwa strikers ni Ateba na Mukwala

Uongozi wa Simba ndo tatizo kubwa, mashabiki lalamikia hilo
Kuanzia leo naungana na maashabiki wenzangu wa simba kuwakataa viongozi wetu.
 
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine

Walishinikiza uongozi kuingia sokoni na kumshawishi arudi na kuwekeza

Cha kushangaza viongozi Matapeli waliendelea kusajili magalasa zaidi ya waliokuwepo

Yaani Kwa kifupi usajili wa Simba hakuna mchezaji aliyeziba pengo la Saido, Onana, Kanoute, Sarr,Fred n.k

Walienda kuwasajili akina na Debora, Okajepha, Mutale, Karaboue, Nouma, Ateba, na Mukwala
Ambao kimsingi hao ni wabovu kuliko waliokuwepo mwaka Jana

Viongozi wa Simba walishindwa kuleta mbadala wa Shabalala ambaye kabisa anaonekana amechoka pia Kapombe

Yanga wao walijiimarisha na kuleta wachezaji wazuri na kushawishi waliokuwepo ambao walitakiwa na timu kubwa kama Pacome, Bacca, Job, Aziz, na Mzize

Viongozi matapeli walivogundua wamekosea wakaamua kuhonga wachambuzi ili kuisema vibaya ufadhili wa GSM

Hoja zao dhaifu

1. GSM anadhamini timu nyingi
GSM sio mmiliki wa Yanga
Yeye ni mfanyabiashara anatumia platform ya mpira kutangaza bidhaa yake
GSM hatangazi bidhaa zake tu kupitia mpira Bali ana mabalozi wengi maarufu kama Milard ayo, Kitenge, Ommy dimpoz n.k Kwe tv na redio bidhaa zake Huwa zinatangazwa, kwaiyo huko kote Huwa anahonga ili Yanga ishinde

2. Yanga anahonga
Kweli Kwa kikosi cha Yanga ni timu ya kumhonga KMC, Coast union au Prison ili kushinda

Simba atakuwaje bingwa ikiwa beki wao tegemeo ni Shabalala na Kapombe hawa wakiletewa akina na Pacome,Max Chama n.k

Simba atakuwaje bingwa ikiwa viungo ni Ngoma na Deborah

Wachezashaji ni Chasambi, Balua na Mpanzu

Simba atakuwaje bingwa ikiwa strikers ni Ateba na Mukwala

Uongozi wa Simba ndo tatizo kubwa, mashabiki lalamikia hilo
Ni kweli kwamba usajili wa Simba sio bora sana hasa kwa strikers.
Lakini ni kweli pia kwamba yanga anauwezo wa kupanga matokeo hapa ndani hata ya mechi ya Simba.

Ninachoweza kuwashangaa mashabiki wa Simba ni kuamini Simba atashinda derby na yanga wakati gsm ana uwezo wa kununua mechi hiyo kwa tff na kamati ya waamuzi.
Yanga kwa sasa ni kama diamond hata kama hajui ataonekana bora tu.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kwamba usajili wa Simba sio bora sana hasa kwa strikers.
Lakini ni kweli pia kwamba yanga anauwezo wa kupanga matokeo hapa ndani hata ya mechi ya Simba.

Ninachoweza kuwashangaa mashabiki wa Simba ni kuamini Simba atashinda derby na yanga wakati gsm ana uwezo wa kununua mechi hiyo kwa tff na kamati ya waamuzi.
Yanga kwa sasa ni kama diamond hata kama hajui ataonekana bora tu.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Atanunuaje mechi
Linganisha ubora
Beki wako Shabalala, Kapombe na Che Malon unadhani hawa wakiulizwa maswali magumu na Pacome,Max, Aziz ki, Chama, Mzize na Dube watayajibu Kwa dakika 90 zote

Viungo wako akina Ngoma na Debora watauweza mziki wa Aucho, Abuya na Mudathir

Chasambi, Ahoua, balua ,Kibu, Okajepha, wataweza kuufungua ukuta wa Job, boka, baka ,na mwenda
 
Uzi umekaa kichawi chawi sana,hata wew mleta mada ni mmojawapo maana wachawi hujifanya ni wema lakini ni nuksi tu
 
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine

Walishinikiza uongozi kuingia sokoni na kumshawishi arudi na kuwekeza

Cha kushangaza viongozi Matapeli waliendelea kusajili magalasa zaidi ya waliokuwepo

Yaani Kwa kifupi usajili wa Simba hakuna mchezaji aliyeziba pengo la Saido, Onana, Kanoute, Sarr,Fred n.k

Walienda kuwasajili akina na Debora, Okajepha, Mutale, Karaboue, Nouma, Ateba, na Mukwala
Ambao kimsingi hao ni wabovu kuliko waliokuwepo mwaka Jana

Viongozi wa Simba walishindwa kuleta mbadala wa Shabalala ambaye kabisa anaonekana amechoka pia Kapombe

Yanga wao walijiimarisha na kuleta wachezaji wazuri na kushawishi waliokuwepo ambao walitakiwa na timu kubwa kama Pacome, Bacca, Job, Aziz, na Mzize

Viongozi matapeli walivogundua wamekosea wakaamua kuhonga wachambuzi ili kuisema vibaya ufadhili wa GSM

Hoja zao dhaifu

1. GSM anadhamini timu nyingi
GSM sio mmiliki wa Yanga
Yeye ni mfanyabiashara anatumia platform ya mpira kutangaza bidhaa yake
GSM hatangazi bidhaa zake tu kupitia mpira Bali ana mabalozi wengi maarufu kama Milard ayo, Kitenge, Ommy dimpoz n.k Kwe tv na redio bidhaa zake Huwa zinatangazwa, kwaiyo huko kote Huwa anahonga ili Yanga ishinde

2. Yanga anahonga
Kweli Kwa kikosi cha Yanga ni timu ya kumhonga KMC, Coast union au Prison ili kushinda

Simba atakuwaje bingwa ikiwa beki wao tegemeo ni Shabalala na Kapombe hawa wakiletewa akina na Pacome,Max Chama n.k

Simba atakuwaje bingwa ikiwa viungo ni Ngoma na Deborah

Wachezashaji ni Chasambi, Balua na Mpanzu

Simba atakuwaje bingwa ikiwa strikers ni Ateba na Mukwala

Uongozi wa Simba ndo tatizo kubwa, mashabiki lalamikia hilo
Makolo wakae kwa kutulia waangalie zile goli 5 za mwaka juzi,goli 4 zilifungwa kapombe akikabia kwa macho
 
Kuishia makundi popote pale mashindano ya Africa ndo kipimo cha magalasa.
 
Msimu uliopita mashabiki wa Simba walikuwa smart, waligundua tatizo la timu Yao kuwa ni viongozi Kwa kusajili magalasa akina Jobe, Onana, Saido, Sarr na Magalasa mengine

Walishinikiza uongozi kuingia sokoni na kumshawishi arudi na kuwekeza

Cha kushangaza viongozi Matapeli waliendelea kusajili magalasa zaidi ya waliokuwepo

Yaani Kwa kifupi usajili wa Simba hakuna mchezaji aliyeziba pengo la Saido, Onana, Kanoute, Sarr,Fred n.k

Walienda kuwasajili akina na Debora, Okajepha, Mutale, Karaboue, Nouma, Ateba, na Mukwala
Ambao kimsingi hao ni wabovu kuliko waliokuwepo mwaka Jana

Viongozi wa Simba walishindwa kuleta mbadala wa Shabalala ambaye kabisa anaonekana amechoka pia Kapombe

Yanga wao walijiimarisha na kuleta wachezaji wazuri na kushawishi waliokuwepo ambao walitakiwa na timu kubwa kama Pacome, Bacca, Job, Aziz, na Mzize

Viongozi matapeli walivogundua wamekosea wakaamua kuhonga wachambuzi ili kuisema vibaya ufadhili wa GSM

Hoja zao dhaifu

1. GSM anadhamini timu nyingi
GSM sio mmiliki wa Yanga
Yeye ni mfanyabiashara anatumia platform ya mpira kutangaza bidhaa yake
GSM hatangazi bidhaa zake tu kupitia mpira Bali ana mabalozi wengi maarufu kama Milard ayo, Kitenge, Ommy dimpoz n.k Kwe tv na redio bidhaa zake Huwa zinatangazwa, kwaiyo huko kote Huwa anahonga ili Yanga ishinde

2. Yanga anahonga
Kweli Kwa kikosi cha Yanga ni timu ya kumhonga KMC, Coast union au Prison ili kushinda

Simba atakuwaje bingwa ikiwa beki wao tegemeo ni Shabalala na Kapombe hawa wakiletewa akina na Pacome,Max Chama n.k

Simba atakuwaje bingwa ikiwa viungo ni Ngoma na Deborah

Wachezashaji ni Chasambi, Balua na Mpanzu

Simba atakuwaje bingwa ikiwa strikers ni Ateba na Mukwala

Uongozi wa Simba ndo tatizo kubwa, mashabiki lalamikia hilo
Hahahaaaa Mo chibokooo
.wanajiuzuluuu 9. WANARUDI 8

UNATAKA nn KIPYA mkuuu

Mbingu n za Bwana

Pokea

Amini tu
 
Magalasa sio kwamba yapo shirikisho kwenye mashindano ya akina mama
Magalasa yanafuga majini alijisemea Mayele.
Screenshot_20250207-070006_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom