Mchawi wetu Afcon hakuwa Amunike

Mchawi wetu Afcon hakuwa Amunike

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wachezaji wa timu ya taifa wanatoka kwenye vilabu za ligi kuu. Je, ligi yetu inayo hadhi ya kutoa wachezaji Bora wa timu ya taifa itakayoifunga Algeria na Senegal kwenye mashindano?

Ligi yetu Sisi
1. Imejaa wachezaji wa kigeni
2. Haina mdhamini
3. Timu zina ukata uliopindukia unaoweza kuzifanya ziuze hata mechi.
4. Marefa wanaidai TFF
5. Timu ya taifa haina maandalizi mazuri
6. Bajeti ndogo kupindukia.
7. Wachezaji wanatishwa na kuogopeshwa
 
Back
Top Bottom