Mchawi wetu wa kwanza ni Mwigulu Nchemba wa pili ni Wabunge na watatu ni...

Mchawi wetu wa kwanza ni Mwigulu Nchemba wa pili ni Wabunge na watatu ni...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Kipindi hiki kimekuwa kigumu kuliko cha Marehemu Magufuli. Tozo na Kodi zimekuwa za kikatili na kinyonyaji sana.hawa watu hawajali kabisa maisha ya maskini.

Mwigulu, Wabunge hawa tunawalipia hizi kodi kwa kodi zetu. Mishahara wanayoipata na vipaumbele vyote ni kutokana na kodi zetu. Huyu Mwigulu hana utofauti sana na Shetani. Nahisi kama yeye anamwita Shetani Mjomba. Wana undugu. Mwigulu ni katili sana.

Wabunge nao wamejinasibisha na Ushetani huu hawa nao ni wachawi kama wachawi wengine.

Najiuliza anayezibariki je? Huyu naye anaonesha kukosa Utu kabisa...yaani huyu anaweza kuwa ni mmoja kati ya watu wa karibu sana na Shetani pia.

WANANCHI TUWACHUKIE WATU HAWA. TUWAKATAE KWA UHUNI WANAOTUFANYIA.

Screenshot_20210822-163403~2.png
 
Kipindi hiki kimekuwa kigumu kuliko cha Marehemu Magufuli. Tozo na Kodi zimekuwa za kikatili na kinyonyaji sana.hawa watu hawajali kabisa maisha ya maskini.

Mwigulu, Wabunge hawa tunawalipia hizi kodi kwa kodi zetu. Mishahara wanayoipata na vipaumbele vyote ni kutokana na kodi zetu. Huyu Mwigulu hana utofauti sana na Shetani. Nahisi kama yeye anamwita Shetani Mjomba. Wana undugu. Mwigulu ni katili sana.

Wabunge nao wamejinasibisha na Ushetani huu hawa nao ni wachawi kama wachawi wengine.

Najiuliza anayezibariki je? Huyu naye anaonesha kukosa Utu kabisa...yaani huyu anaweza kuwa ni mmoja kati ya watu wa karibu sana na Shetani pia.

WANANCHI TUWACHUKIE WATU HAWA. TUWAKATAE KWA UHUNI WANAOTUFANYIA.
Kwangu mimi naamini mchawi wetu wa kwanza ni yule aliye simamia na kuratibu ujanja wa kuhakikisha kuwa wapinzani hawapati wabunge kwenye uchaguzi wa 2020.
 
"Katiba hii imenipa Madaraka makubwa sana, siku atakuja mtu ataitumia atakavyo na kuwa kama Mungu". - Mwl. Nyerere 1982.
Hakika mwl JK Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono makubwa sana.
 
Kwangu mimi naamini mchawi wetu wa kwanza ni yule aliye simamia na kuratibu ujanja wa kuhakikisha kuwa wapinzani hawapati wabunge kwenye uchaguzi wa 2020.
Sio mtu mmoja ni genge la mamia ya watu
 
Kipindi hiki kimekuwa kigumu kuliko cha Marehemu Magufuli. Tozo na Kodi zimekuwa za kikatili na kinyonyaji sana.hawa watu hawajali kabisa maisha ya maskini.

Mwigulu, Wabunge hawa tunawalipia hizi kodi kwa kodi zetu. Mishahara wanayoipata na vipaumbele vyote ni kutokana na kodi zetu. Huyu Mwigulu hana utofauti sana na Shetani. Nahisi kama yeye anamwita Shetani Mjomba. Wana undugu. Mwigulu ni katili sana.

Wabunge nao wamejinasibisha na Ushetani huu hawa nao ni wachawi kama wachawi wengine.

Najiuliza anayezibariki je? Huyu naye anaonesha kukosa Utu kabisa...yaani huyu anaweza kuwa ni mmoja kati ya watu wa karibu sana na Shetani pia.

WANANCHI TUWACHUKIE WATU HAWA. TUWAKATAE KWA UHUNI WANAOTUFANYIA.
Unaandika: "Tozo na Kodi zimekuwa za kikatili na kinyonyaji sana." Unaendelea :"Huyu Mwigulu hana utofauti sana na Shetani." MMMM
ninawasiwasi na uwezo wa ueleo wako. Kama Mwigulu ni shetani na hawa ni akina nani?

  • Gwajima, Mwamposa na.... na..... Maana hawa kila j,pili na wanapofanya misa masikini hujaza bakuli kwa sadaka mpaka utashangaa
  • Waganga wa kienyeji na...na... Hapo masikini anatoa akiba yake ya mwisho kumlisha huyu muheshimiwa
  • Michango ya harusi- Hapa sina nyongeza
  • Na....... Na .... list inaweza kuendelea mpaka kukuche
Hivyo Dhambi ya Mwigulu ni kusema tuchange kwa ajili ya maendeleo ya Afya yako na elimu kwa mtoto wako. Hivi watanzania tumeamka kweli au bado tuko usingizini.

Kuzaa watoto 6 mpaka 11 tunapenda, sijakwambia wale mnaowakimbia mkiwaachia akina babu na bibi kule vijijini na mitaani wawalee. Huji atasoma wapi, atatibiwa wapi na atakwenda kliniki wapi. Mzigo wote huo mnawaachia serikali.

Mwigulu uitwe SHETANI AU MALAIKA, usisikie la mtu endelea kuwabana watanzania kwa maendeleo yao wenyewe kwani wengi wa wanaopiga kelele ni wale wanaokimbia uwajibikaji hata kwenye familia zao.

Mwigulu ukigeuka nyuma utageuka jiwe. Mbele kwa mbele tu. Mwananch LIPA KODI, KODI, KODI.......
 
Una IDs ngapi? Maana ile ya kwako huwa huitumii kabisa .... Ninyi nyote ni watoto wa shetani. Mnaowakamua maskini wa tanzania na kuneemeesha matumbo yenu.

Screenshot_20210822-163403~2.png


Unaandika: "Tozo na Kodi zimekuwa za kikatili na kinyonyaji sana." Unaendelea :"Huyu Mwigulu hana utofauti sana na Shetani." MMMM
ninawasiwasi na uwezo wa ueleo wako. Kama Mwigulu ni shetani na hawa ni akina nani?

  • Gwajima, Mwamposa na.... na..... Maana hawa kila j,pili na wanapofanya misa masikini hujaza bakuli kwa sadaka mpaka utashangaa
  • Waganga wa kienyeji na...na... Hapo masikini anatoa akiba yake ya mwisho kumlisha huyu muheshimiwa
  • Michango ya harusi- Hapa sina nyongeza
  • Na....... Na .... list inaweza kuendelea mpaka kukuche
Hivyo Dhambi ya Mwigulu ni kusema tuchange kwa ajili ya maendeleo ya Afya yako na elimu kwa mtoto wako. Hivi watanzania tumeamka kweli au bado tuko usingizini.

Kuzaa watoto 6 mpaka 11 tunapenda, sijakwambia wale mnaowakimbia mkiwaachia akina babu na bibi kule vijijini na mitaani wawalee. Huji atasoma wapi, atatibiwa wapi na atakwenda kliniki wapi. Mzigo wote huo mnawaachia serikali.

Mwigulu uitwe SHETANI AU MALAIKA, usisikie la mtu endelea kuwabana watanzania kwa maendeleo yao wenyewe kwani wengi wa wanaopiga kelele ni wale wanaokimbia uwajibikaji hata kwenye familia zao.

Mwigulu ukigeuka nyuma utageuka jiwe. Mbele kwa mbele tu. Mwananch LIPA KODI, KODI, KODI.......
 
Kwangu mimi naamini mchawi wetu wa kwanza ni yule aliye simamia na kuratibu ujanja wa kuhakikisha kuwa wapinzani hawapati wabunge kwenye uchaguzi wa 2020.
Kama hayupo tena, then si mchawi wetu wa sasa
 
Mchawi wetu ni mama Samia hao wengine unawasingizia tu.Tupewe CV ya Mh Rais wetu mama wa kuupiga mwingi kwanza then tuendelee kujadili.
 
Hakika mwl JK Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono makubwa sana.
Alikua na maono mfu Kama alijua kwanini asingefa ya marekebisho kabla? Mwenzake kaunda aliona haya akafanya mabadiliko ona wenzetu wanavyo faidi matunda ya Kenneth kaunda.
 
Alikua na maono mfu Kama alijua kwanini asingefa ya marekebisho kabla? Mwenzake kaunda aliona haya akafanya mabadiliko ona wenzetu wanavyo faidi matunda ya Kenneth kaunda.
Hakuna mwanadamu asiye na mapungufu
 
Back
Top Bottom