Mchecheto wa mafanikio

Umenigusa Mkuu.
Ngoja nijipange upya.
 
Daaaaaaah booooonge LA uzi,nimebaki mdomo wazi!!!
Umenigusa Sana, nimekosea maeneo mengi sana na kupoteza pesa nyingi kwa sababu ya Mchecheto tu Wa Mafanikio
Asante Sana Mkuu,Pamoja Sana!!! Ubarikiwe!!!!
 
Mkuu hapo ndio vijana wengi wanapofeli,mafanikio ni hatua kwa hatua na haraka ni ya shetani
 
huu uzi ungepaswa kila mtanzania ausome.lakinikutokana na uvivu wa kusoma wengi wanaokimbilia kuinvest kichwa kichwa watapoteana tu
 
Ukweli siku zote unasimama kuwa ukweli, mkuu umelenga mule mule vijana wengi tunapenda mafanikio ya haraka, Well said and much RESPEK to your thread, atleast nimeambulia kitu kipya.
 

Nimejifunza kitu hapa tena kikubwa n cha samani sana kuliko mtaji
 
Mkuu umetisha kila kitu umeongea ni ukweli mtupu..Naamini sisi vijana tutajifunza jambo hapo ili tusipate mchecheto wa mafanikio
 
Hii elimu inahitajika sana kwa vijana wengi tunaojaribu kujiongeza kuwa kudaka fursa zilizo mbele yetu. Sishangai kuona wengi wetu tunafanya mambo blindly au kwa kufuata mkumbo tu tukitamani tu kupiga hela! Kama vile tunavyoweka mtaji basi na maarifa ya kutosha ni muhimu sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…