Ngoja tusubiri jina lakeSimfahamu jina lake kwa Sasa Tanzania hakuna kama uyu jamaa kwenye comedyView attachment 2563618
Wewe umefungua uzi kutuaminisha au umefungua ili tutoe maoniKuna watu mmekosa tunguli tu
wachawi sio lazima wawe wazeeKuna watu mmekosa tunguli tu
Magasho ndo wanapenda kusifiwa sifiwa , kuwa mwanamme kiazi weweUnashida akilini kila kitu sio lazima upinge sio ujanja ni ushamba tu
Mada za kuchekesha ni zipi siasa ,au, diniTanzania hakuna comedians bali ni watu wanajichekesha wakitaka watu wacheke pia... Stand up comedy za Tanzania ni upuuzi mtupu, mada zao ni shule chuo ndugu wazazi mapenzi au Marafiki.. na hazichekeshi... Hawana maarifa na exposure