Kakaaa niliwaambia nikilewa mniacheSimfahamu jina lake kwa Sasa Tanzania hakuna kama uyu jamaa kwenye comedyView attachment 2563618
Zote๐๐
Kama yule Eliud takataka tupu
Anatangaza bidhaa yake pendwa ya washeli ๐คฃ๐คฃ๐คฃHuyo hachekeshi anafanya biashara ya bidhaa yake[emoji23][emoji23]
Usitie watu kwenye majaribuVipi Hakika Reuben? Unamuonaje?
Jamaa ana sail on his own sea. Comedy ya Mwaisa ni kama ya Joti tu sababu haina mipaka na wala harudii matukio. Iko attached na maisha ya kila siku ndio wanayaingizia fun factors.Mchekeshaji Bora kwasasa MWAISA MTU MBADI / MZEE WA MAOKOTO / MZEE WA BUNDA
labda tu kwasababu Category ya uchekeshaji wake
Hahahah freshi mkuu haipingwiKwako mkuu sikupingi ila sijawahi chekeshwa na joti
Kwamba nilimpa dada wa counter laptop kama zawadiKwamba pikipiki nmeuza laki 2 [emoji16]
๐๐Zote๐๐