Mchekeshaji bora Tanzania kwa sasa

Mchekeshaji Bora kwasasa MWAISA MTU MBADI / MZEE WA MAOKOTO / MZEE WA BUNDA

labda tu kwasababu Category ya uchekeshaji wake
Jamaa ana sail on his own sea. Comedy ya Mwaisa ni kama ya Joti tu sababu haina mipaka na wala harudii matukio. Iko attached na maisha ya kila siku ndio wanayaingizia fun factors.

Hizo Comedy za kutunga visa ni ngumu sana style hio haiwezi chekesha watu wenye bandama za uhakika kama mimi. Alijaribu Idris akaonekana mwehu tu. Hakika Rueben kaishia kufeerwa, bora hata yule aliokuwa anaigiza kichuga imempeleka zake mamtoni.
 
Wewe mzungu koko taja mchekeshaji wako anayechekesha kwa kuongelea rocket science. Okoa nguvu na muda taja jina otherwise wewe ndo unaonekana kituko.
Akikujibu ni tag
 
Unaanzisha uzi kama huu bila supporting clips or videos..

Acha bana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ