Mchekeshaji maarufu auaga ukapera

Masele katika real life naamini ni chapombe pia. Anyway hongera zake
Hajawahi kuonja pombe katika historia ya maisha yake. Huwezi amini lakini habari ndio hiyo.
 
Hajawahi kuonja pombe katika historia ya maisha yake. Huwezi amini lakini habari ndio hiyo.
Sio kweli Masele hadi real life ni mlevi...uyo mkewe ndo ana bar kabisa nje kwao....
 
masele nilikutana nae moshi maeneo kiborloni msela kama bado aka kahasili ka kuyumba yumba vile japokuwa hakuonekana kama ameshitua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…