Hizi ndio akili za wabongo ndio mana nimeishaapa kwenye maisha yangu sitakopesha mtu pesa wala kusaidia yoyote wabongo ma snichi sana washanitia hasara na fedheha mara kibao nishapoteza hela nyingi sana kisa wabongoHio sababu ni dhaifu..mtu akikusaidia haimaanishi inatakiwa uwe kijakazi/mtumwa/mfanyakazi wake daima..Saidia sepa zako. Au wewe hujawahi kusaidiwa? Kama ndio je wote waliokusaidia kwa lolote upo nao karibu mno?
EATV wanajua kutengeneza vipaji vipya,kesho unashangaa kuna mwengine anachukua nafasi na anafit.Hakika leo Zembwela amehamia Wasafi lakini ma-boss wa IPP hawajatoka povu kama ilivyo E Fm kwa Sebo, ila siyo Majizzo.
Yaani East Africa Radio ina watangazaji wazuri mno; wakiondoka bado wanakuja wazuri. Kifupi hawatetereki kama milima ya Uluguru.
Hio si hua ni kazi ya hovyo tu mtu yoyote yule anaweza kuifanya tu mkuu.Kwani Zembwela ni mtangazaji?
Redio nyingi bongo Kwan Kuna watangazajiKwani Zembwela ni mtangazaji?
Kama yule jamaa king smash naona kafiti vizuri sana kwenye enews ya sam misago nayeye sijui ndo katimkia hukoEATV wanajua kutengeneza vipaji vipya,kesho unashangaa kuna mwengine anachukua nafasi na anafit.
Smash bado yupoKama yule jamaa king smash naona kafiti vizuri sana kwenye enews ya sam misago nayeye sijui ndo katimkia huko
Namzungumzia sam Misago naona hata kwenye website yao wameshamtoaSmash bado yupo
IPP(ITV/RADIO ONE/EATV/RADIO) pale pamewatoa watangazaji wengi sana ni kama chuo pale wakishabobea wanasepa zao kutafuta maisha sehemu nyingine na maisha yanaendelea fresh kabisa.
shukrani ya punda ni matekeMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Anatangaza kipindi gani..Mapema leo akiwa studioView attachment 1241541
Binadamu haridhiki... kafwata pesa anaisahau eaMmmh.... huyu jamaa vipi tena?EARadio imemfanya amejua kutangaza licha ya yale mapungufu,halafu anahama ana Wasafi....?Au kuna namna hapa Wasafi wanafanya na baadhi yakampuni halafu watarudi?
Alivyoondoka mussa hussein watu walisema hivyo hivyo bt pengo likazibwa kile chuo cha mafunzo watapata tu mbadalaAaaah kudadeki wallah...
Supermix inapwaya..
Alaaniwe pesa.
Sisemi hawatapata.Alivyoondoka mussa hussein watu walisema hivyo hivyo bt pengo likazibwa kile chuo cha mafunzo watapata tu mbadala
Mbna we ndo bongolala mkuu , sku hzi mtu anaweza kupiga kaz vituo vya kazi hata vitatu vipind tofaut tofaut, tatizo elimu ya kuunga unga ndo inawapotezaHajahama ameazimwa na wasafi media.
Are you satisfied?
Unapopewa taarifa kuwa mtu yuko side B from A,usiulize foolish Question kama hilo.