Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2933056
Habari zenu.
Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi.
Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja. Atafute watu sahihi wa kumsimamia nyuma yake.
Ninamuona ana kipaji kikubwa lakini kuna marekebisho anatakiwa ayafanye.
Kwanza apate Meneja mzuri ambaye atamsimamia katika kazi yake ikiwemo kumshauri mambo gani afanye na mambo gani asifanye.
Kwa mfano Nyanda Kabundi amekuwa akitangaza bidhaa ya kampuni za nguo za ndani za watoto wadogo katika namna ambayo siyo ya kuvutia.
Yaani anaongea tu haraka haraka akiwa anatangaza hiyo bidhaa hiyo.
Mtu mwingine akiona hivyo anaweza asipeleke tangazo kwake kwasababu hatumii lugha ya mvuto katika kutangaza bidhaa.
Atazame wachekeshaji wengine kama wakina joti wanavyotangaza bidhaa za makampuni.
Wanatangaza vizuri. Kingine Nyanda Kabundi aanzishe TV yake online mfano aiite NYANDA TV AU KABUNDI TV.
Hii pia itamsaidia kupata matangazo ya kibiashara Kwa wingi. Kiufupi Nyanda Kabundi anahitaji msaada mkubwa wa kisimamizi kwani yeye ni kijana anayetoka usukumani katika familia za wafugaji ambapo nahisi hakupata elimu ya kutosha.
Ni hayo tu.
Weka picha mkuuView attachment 2933056
Habari zenu.
Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi.
Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja. Atafute watu sahihi wa kumsimamia nyuma yake.
Ninamuona ana kipaji kikubwa lakini kuna marekebisho anatakiwa ayafanye.
Kwanza apate Meneja mzuri ambaye atamsimamia katika kazi yake ikiwemo kumshauri mambo gani afanye na mambo gani asifanye.
Kwa mfano Nyanda Kabundi amekuwa akitangaza bidhaa ya kampuni za nguo za ndani za watoto wadogo katika namna ambayo siyo ya kuvutia.
Yaani anaongea tu haraka haraka akiwa anatangaza hiyo bidhaa hiyo.
Mtu mwingine akiona hivyo anaweza asipeleke tangazo kwake kwasababu hatumii lugha ya mvuto katika kutangaza bidhaa.
Atazame wachekeshaji wengine kama wakina joti wanavyotangaza bidhaa za makampuni.
Wanatangaza vizuri. Kingine Nyanda Kabundi aanzishe TV yake online mfano aiite NYANDA TV AU KABUNDI TV.
Hii pia itamsaidia kupata matangazo ya kibiashara Kwa wingi. Kiufupi Nyanda Kabundi anahitaji msaada mkubwa wa kisimamizi kwani yeye ni kijana anayetoka usukumani katika familia za wafugaji ambapo nahisi hakupata elimu ya kutosha.
Ni hayo tu.
Kwanini mzeeItakua nazeeka walai
Hii nchi kuanzia Rais mpaka sisi wananchi wa kawaida wote ni wachekeshaji.Kwa hiyo nyanda kabudi nae ni mchekeshaji? Sawa.
Huyu sio mchekeshaji bali ni mpori pori mwenye maneno mengi.View attachment 2933056
Habari zenu.
Iko hivi nadhani kwa kila mmoja wetu anamfahamu mchekeshaji aliyeibuka siku za hivi karibuni anayeitwa Nyanda Kabundi.
Iko hivi mchekeshaji huyu nataka nimshauri kitu kimoja. Atafute watu sahihi wa kumsimamia nyuma yake.
Ninamuona ana kipaji kikubwa lakini kuna marekebisho anatakiwa ayafanye.
Kwanza apate Meneja mzuri ambaye atamsimamia katika kazi yake ikiwemo kumshauri mambo gani afanye na mambo gani asifanye.
Kwa mfano Nyanda Kabundi amekuwa akitangaza bidhaa ya kampuni za nguo za ndani za watoto wadogo katika namna ambayo siyo ya kuvutia.
Yaani anaongea tu haraka haraka akiwa anatangaza hiyo bidhaa hiyo.
Mtu mwingine akiona hivyo anaweza asipeleke tangazo kwake kwasababu hatumii lugha ya mvuto katika kutangaza bidhaa.
Atazame wachekeshaji wengine kama wakina joti wanavyotangaza bidhaa za makampuni.
Wanatangaza vizuri. Kingine Nyanda Kabundi aanzishe TV yake online mfano aiite NYANDA TV AU KABUNDI TV.
Hii pia itamsaidia kupata matangazo ya kibiashara Kwa wingi. Kiufupi Nyanda Kabundi anahitaji msaada mkubwa wa kisimamizi kwani yeye ni kijana anayetoka usukumani katika familia za wafugaji ambapo nahisi hakupata elimu ya kutosha.
Ni hayo tu.
Nilitarajia kukutana na comment kama hii😀😀😀humu kuna watu wana akili Sana!Una jipigia promo
Hii comment ukijumlisha na bange niliyovuta nimejikuta nacheka Sana mpaka mbwa wangu wamenisogelea kuona kuna kitu ganiHii nchi kuanzia Rais mpaka sisi wananchi wa kawaida wote ni wachekeshaji.