Mchekeshaji Nyanda Kabundi fanya haya



Kwa kweli Mwenyezi Mungu amuinue zaidi hadi ashangae.
Ana kitu atafika mbali.
 
Weka picha mkuu
 
Huyu sio mchekeshaji bali ni mpori pori mwenye maneno mengi.
 
Reactions: EEX
Hii nchi kuanzia Rais mpaka sisi wananchi wa kawaida wote ni wachekeshaji.
Hii comment ukijumlisha na bange niliyovuta nimejikuta nacheka Sana mpaka mbwa wangu wamenisogelea kuona kuna kitu gani
 
Aache tabia ya kumkatisha mauno yule kijana mdogo wa kiume...inakeraa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…