Mchele kilo Tsh. 3500, kweli?

Mfumuko wa bei za bidhaa umekuwa kero kwa wanachi wengi.
Maisha yamebana Sana kwa kweli
 
😀 kweli nimeamini unajua mchele wewe , kuna siku muuzaji ndiyo aliniambia kwamba mchele uwa unapigwa futa ukiuona unang'aa balaa unaweza kuingizwa kingi kilo elfu 4 kumbe ni FUTA tu.
Duh ndio maana huwa na tatizo la gas kumbe mafuta huwekwa kwenye mchele😳
 
😀 kweli nimeamini unajua mchele wewe , kuna siku muuzaji ndiyo aliniambia kwamba mchele uwa unapigwa futa ukiuona unang'aa balaa unaweza kuingizwa kingi kilo elfu 4 kumbe ni FUTA tu.
Kuna mengi sana masokoni mf mtindi uongezewa unga wa ngano,karoti huoshwa Kwa sabuni za unga, juice za mtani ni matunda mabovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…