Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Super gani kwa 2800 !!? Huo wa 3000 tu hauleweki yani umekatika pia radha haunaKawaida supa ni 2800 hadi afutatu iyo 3800 wamekupiga
Mwenyekiti anasema ni wakati sasa wakujenga nchi pamoja! Huku Bi mkubwa anasema mtuseme mbona bei zinapanda sana wa wataenda kushusha!Najaribu tu kuwaza Kwa sauti. Nashindwa kuelewa hapa nipo Tanzania kweli au naota.
Kuna mengi sana masokoni mf mtundi uongezewa unga wa ngano,karoti huoshwa Kwa sabuni za unga, juice za mtani ni matunda mabovu
Karoti zinapigwa sabuni za unga Kwa Siri sana ili zisioze wakati wa kusafirishwaAisee hatari hawa jamaa watatumaliza kwa matakataka yao ,mimi ni mpenzi wa mtindi hasa Tanga,Kilimanjaro na Asas ila noana kila mtindi una texture na ladha tofauti inawezkana wanfanya mafekeche.
Juice za embe au parachichi huwa sinywagi kabisa mimi juice ya ukwaju au ya miwa ndiyo natumia.
Karoti wanaosha nasabuni ndiyo inakuwaje? Lengo ni nini?
Afutatu mbona ni bei yake sikuzoteHadi viazi vitamu fungu 3000 hapa kigamboni
Nitafute afu nimalizie kwenye chakulaTafuta pesa wewe.
Wamekuuzia bei hiyo kwa sababu ukipika chakula "kinanuka" mafuta kwa maneno mengine ni m'bovu.NYIE MNAIBIWA SANA JANA MIMI NILINUNUA KILO 1500,ILA BAADA YA KUPIKA CHAKULA CHOTE KILIKUWA NA KINANUKA MAFUTA,KAMA UNATAKA HUO MCHELE NITAFUTE NIKUUNGANISHE NA MUUZA DUKA
KWANI CHA MSINGI NANI ALIYEIBIWA KATI YANGU MIMI NA NYIE,MIMI NINENUNUA 1500 WEWE 3500 HAPA NANI KAIBIWA??Wamekuuzia bei hiyo kwa sababu ukipika chakula "kinanuka" mafuta kwa maneno mengine ni m'bovu.