Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Kumeingia wimbi la kuuziwa michele ambayo imepakwa mafuta hasa Dar es saalaam na Pwani, Je serikali kupitia wizara na taasisi zao hawajaliona hili?
Je, ni mafuta gani hayo yanapakwa kwenye mchele ikiwa na lengo la kuufanya uonekane mzuri je, ni mafuta ya aina gani?
Tunashuhudia kansa kuongezeka nchini kila kukicha je hawa wa mchele hawasababishi hili?
Tunaomba majibu ya kina ili tujue hatima ya afya zetu.
Je, ni mafuta gani hayo yanapakwa kwenye mchele ikiwa na lengo la kuufanya uonekane mzuri je, ni mafuta ya aina gani?
Tunashuhudia kansa kuongezeka nchini kila kukicha je hawa wa mchele hawasababishi hili?
Tunaomba majibu ya kina ili tujue hatima ya afya zetu.