julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,081
- 4,224
Yale wanaita maharoo. Ndio wauza kahawa wote wanayatumia.ukitaka kuyajua kwanza inakua chubgu balaa na ina harufu mbaya. Roasted coffee ina ladha yake. Hayo mambegu sidhan hata kama tbs wanajua hata kama yapo.wale madogo wa vibirika wanachkua buni robo yale maharage kilo. Kahawa yenye buni halisi harufu yake tu inavutia.ukitaka kuthibitisha njoo grano hapa usikie vyumaTBS ni takataka tu, usithubutu kunywa hizi kahawa zinazotembezwa ni takataka, kahawa inasagwa pamoja na maharagwe meusi ya burundi ili wapate faida kubwa.