Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,308
mapenziya jf bana...
mazuri yakikubali.
yakikataa....shubiri
mapenziya jf bana...
mazuri yakikubali.
yakikataa....shubiri
Bora tusiyakubali
Tukae kando kuepuka shari
Daa kazi kweli kweli!!!!!
Hujambo bibie au na wewe unajiandaa kunichanja chale? lol
nyie huyu MS atakuwa mpemba kalegeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaa mnh kila saa anataka abembelezwe tu akikosa wa kumbembeleza atajiliza?! mnh man up unatia aibu!:A S 13::A S 13:
Hahahahahahahaha!Kazi ipo!
Roselyne,sijakuona siku mbili hizi? salama???
salama my dear,nilikuwa nalewa nipunguze makali ya maisha lol,bado nina hangover mwenzio ngoja nikazimue lol:wink2:
Mi hata kiwembe sina!!!
Kha kwa nini nihangaike kaka angu, nataka kuibeba dunia mgongoni mwamgu kwani je nitaiweza? Haka mie, niombacho mie ni afya na amani ya nafsi yangu basi. Kwa nini kuhangaika na mwadamu ambaye amezaliwa kama wewe na atakufa kama wewe.
Dah Raha jipe mwenyewe Shoss, what are you looking for my dear!!
Stay happy and blessed!!
nyie huyu MS atakuwa mpemba kalegeeeeeeeeeeeeeeeaaaaaa mnh kila saa anataka abembelezwe tu akikosa wa kumbembeleza atajiliza?! mnh man up unatia aibu!:A S 13::A S 13: