Originally Posted by
Michelle 
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l
Namsuhuru Mungu Kiswahili nakijua tena kiswahili hasa nimezaliwa mwambao wa pwani R siweki L na L siweki R. Naweza nikasoma maneno mawili tu nikajua mtu anaelekea wapi naweza nikakuchambulia tungo ya ubeti mmoja siku nne. Bahati yako Mwalimu Mrimi Mnandi amekufa ningekuambia umtafute halafu umuulize habari zangu kuhusu kiswahili angekuambia.................. kwahiyo chukua tahadhari na tuishi kwa amani.
Shukrani.