Mpemba halafu mdini (mwislamu) naona hujamalizia nakusaidia kama hujapendezewa si vibaya ukala kona kuliko kujitongozesha mimi nakuza lugha natunga mashairi kama unaweza vina tuingie kazini sio unaleta mambo ya hang over zako za amarula kwenye thread za watu ............
Jasiri umekuwa, kwa kutoa lako sononeko
Hongera nnakupa, kwa kujikaza moyo wako
Na pole nafuatisha, kukufariji mwenzangu.
Ya juzi siyo ya jana, na ya leo kesho sahau
Maumivu yatakwishwa, burudani yako roho
Jamvi litakuwa zulia, usitamani kubanduka.
😛opcorn:naona matangazo yanapita hapa kuna movie litaanza muda si mrefu na inaonekana litakuwa si la kitoto:wink2:
hivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l
mimi nitaangalia hiyo movie....wewe je?
umepotea dear....tuko hapa na Shossi tunafurahia mashairi.....
mimi nitaangalia hiyo movie....wewe je?
umepotea dear....tuko hapa na Shossi tunafurahia mashairi.....
Pole shossi mweee nani tena amekudis
Kulinda yako heshima Si jambo la kununua
Bure silaumu mama Mzazi alokuzaa
Hafundishi ya zahama Mabaya kukutakia
huoni nimeandaa na mabisi kama si mabumunda hahahah:rain:
Huyo kama kavinjari
Wewe vuka bahari
Nenda Zanzibari
Kule mambo shwari
:bathbaby:nkimaliza:washing:nkimaliza:A S-coffee:nkimaliza:fish2:Mimi natoa mashairi wewe unatukana ikiwa nimelegea umeshawahi kunipa nikashindwa kwani usipo changia kwenye thread yangu utapungua?
kuuliza si ujinga ndugu yangu
mama yangu atoka wapi kwa swali langu
samahani kama nimekukera.
Mimi natoa mashairi wewe unatukana ikiwa nimelegea umeshawahi kunipa nikashindwa kwani usipo changia kwenye thread yangu utapungua?
nina mapera na apples hapa na mabis nimeagiza....movie ndo inaanza....:decision:
kuuliza si ujinga ndugu yangu
mama yangu atoka wapi kwa swali langu
samahani kama nimekukera.
Kulinda yako heshima Si jambo la kununua
Bure silaumu mama Mzazi alokuzaa
Hafundishi ya zahama Mabaya kukutakia
HESHIMA KITU CHA BURE ,WAJIBU KUWAZINDUA
Heshima inaposimama Mja mwema unakua
Heshima inapoparama Utu thamani potea
Heshima nayo tizama Hifadhi kishikilia
HESHIMA KITU CHA BURE ,WAJIBU KUWAZINDUA