kwa haya uliyokaaa nayo mapera na maapples na kwa hili movie nadhani yatatukwama,maji yenyewe ya kidebe:rain:
Originally Posted by Michellehivi kuna wanawake wanajitongozesha kwa wanaume waliolegea?? wa nini sasa?? just thinking loud....l.o.l
Namsuhuru Mungu Kiswahili nakijua tena kiswahili hasa nimezaliwa mwambao wa pwani R siweki L na L siweki R. Naweza nikasoma maneno mawili tu nikajua mtu anaelekea wapi naweza nikakuchambulia tungo ya ubeti mmoja siku nne. Bahati yako Mwalimu Mrimi Mnandi amekufa ningekuambia umtafute halafu umuulize habari zangu kuhusu kiswahili angekuambia.................. kwahiyo chukua tahadhari na tuishi kwa amani.
Shukrani.
wewe nimekutukana saa ngapi? na nimekutukanaje? usianze usichoweza kukimaliza tafadhali.....siko JF kutukana bila sababu....nimekuuliza swali,kama huwezi jibu unasema....acha kujishtukia na kusingizia wenzio....loh......!!!!!!!!!!.....nachangia thread yeyote tu nayojisikia.....
nina sim tank kubwa mwenzio....hayakwami mtu....l.o.l
mi sipo....movie yenyewe inaboa.....:hand:
:blah::blah::blah::rain:
Uungwana ni heshima Mungu analiridhia
Kisiingie kuchangia Bila ya kujikagua
Ulimi uulize mema Sio kujiropokea
Yangu ninayoyasema Mwisho nimefikilia
Sikieni muadhama ukeapo kosoa
Tusitafute hasama Mchawi kumjua
Kaditama nimefika sitatia langu neno........
Im watching vere vere. Hiyo movie isiwe ya jak chen tu maana patachimbika.
acha kulalamika,ukikosolewa kidogo tu udini....hakuna uchawi wala nini....ndo great thinking yenyewe.....byeeeeeeeee!!!!!!!!!!!
Vijana taratibuni
Heshima tafadhali mimi ni kikongwe usiniite kijana
Mchungaji naongea na vijana.........wewe endelea tu
hehe mwalim hii sredi ukichangia unatakiwa kuweka vidole hewani. sijui umeweka? na nakushauri hata thanks usigonge kwani nadhani mwisho wa hii sredi ni kupigwa ban hata waliogonga senks lolKlorokwini....
Sijapita JF kitambo, nimerudi kumenibadilikia .............Kweli tunahitaji katiba mpya
hehe mwalim hii sredi ukichangia unatakiwa kuweka vidole hewani. sijui umeweka? na nakushauri hata thanks usigonge kwani nadhani mwisho wa hii sredi ni kupigwa ban hata waliogonga senks lol