Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
mnazaliana kwa wingi ila mnakufa mapema miaka 60 tu mwisho wenu.Hawa jamaa wagehitaji kutupata waafrika tungekamatika kirahisi mno hata tu kwenye nguo za mitumba! /
Hofu kuwa ya wazungu kwa sasa ni jinsi waafrika tunavyozaliana kwa kasi, ikipigwa hesabu inaonekana by future robo tatu ya wana dunia itakuwa ni waafrika!