Mchele wa msaada ugawiwe mashuleni kama ilivyodhamiriwa!

mnazaliana kwa wingi ila mnakufa mapema miaka 60 tu mwisho wenu.
 
Kwa ugali huo si ajabu akili zako zimekuwa hivi. Kama kweli lengo ni msaada, Walete pesa tukanunua mchele Mbeya maana umejaa tele! Mambo ya Mchele wenye kuchochea homoni za kike hapana aisee
 
Umezungumza kitaalam sana. Kongole mkuu.
 
Kwa ugali huo si ajabu akili zako zimekuwa hivi. Kama kweli lengo ni msaada, Walete pesa tukanunua mchele Mbeya maana umejaa tele! Mambo ya Mchele wenye kuchochea homoni za kike hapana aisee
Tatizo letu ni kwamba wataalam wetu na wafanya maamuzi sio waaminifu. Wakituletea fedha cash zitatumika kwa malengo mengine badala ya kile kilichokusudiwa.
 
Ni ujinga kufikiri kwamba wana nia ya kutudhuru kwanza tupo wengi sana watadhuru wangapi? Acheni fikra na mawazo yaliyo pauka
 
Kwa ugali huo si ajabu akili zako zimekuwa hivi. Kama kweli lengo ni msaada, Walete pesa tukanunua mchele Mbeya maana umejaa tele! Mambo ya Mchele wenye kuchochea homoni za kike hapana aisee
How do you prove?
 
Matikiti kudondoka? Matikiti kudongea kwisha tumempoteza mwana mmoja anatafutwa . Ukimwona pisa simu ya milembe mumpeleke direct na usimtoe walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…