Mchele wa pakistani nihatari kwa wakulima watanzania..!


Heh heh asavali bana mchele ulikuwa bei kuba sana dugu,wacha tufaudu,poleni kwa wakulima zidini kuichagua CCM,kila siku mnaambiwa CCm ni ya matajiri nyie mnabaki kusema aku ni ya wakulima na wafanyakazi,unafikri uncle MO aligombea ubunge kwa kuwapenda sana wana Singida,sasa atamwaga mchele Tanzania nzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…