Mchengerwa aelezea Ligi ya Vipaji ya Samia ambayo itafanyika Mtaa kwa Mtaa, Kijiji kwa Kijiji, Nchi Nzima

Mchengerwa aelezea Ligi ya Vipaji ya Samia ambayo itafanyika Mtaa kwa Mtaa, Kijiji kwa Kijiji, Nchi Nzima

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
SAMIA CUP SAKA VIPAJI MTAANI KWAKO

Tarehe 24/3/2022, DODOMA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Mchengerwa, akiwa anazungumza katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ameelezea dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa katika Tasnia za Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kati ya vitu atakavyoanza ni pamoja na kuanzisha Ligi ya Vipaji ya Samia ambayo itafanyika Mtaa kwa Mtaa, Kijiji kwa Kijiji, Nchi Nzima.

Mpango huu unaandaliwa na Wataalam wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo; na tayari Wadau mbalimbali wameshajitokeza kuchangia Vifaa Vya Michezo. Waheshimiwa Wabunge wanategemewa kusimamia katika maeneo yao ili kuhakikisha malengo yanafikiwa.

Sambamba na Uchezeshwaji wa Ligi hiyo, Mhe Mchengerwa aliipa taarifa Kamati kuwa, Kuanzia Tarehe 4 mpaka 6 Aprili, Maafisa Utamaduni na MaaFisa Michezo Nchi Nzima, watakutana Dodoma kwa ajili ya kikao kazi, kati Yao na Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yao ikiwa ni Pamoja na mchakato wa maelekezo ya Mtaa kwa Mtaa Samia Cup Saka Vipaji Mtaani Kwako.

Samia Cup Saka Vipaji Mtaani Kwako

Jambo hili lilipokelewa kwa shangwe kubwa sana na kuungwa mkono na Wajumbe wote wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii.
 
Kweli huyu mama kaamua kurudisha pesa mtaani
 
Hii nchi ipigwe tu mnada tutahamia hata Kenya tukapange kuliko kuwa kwenye nchi ya mazigaombwe
 
Atakaelipinga hili huyo manii yake ni ile ya dhuluma baba yake kapiga tukio akapata kula akapata nguvu akaingilia ndo likapigwa bao
 
Hivi kuna nchi ina watu wanaoongoza kwa kujipendekeza kupita Tanzania?
 
SAMIA CUP SAKA VIPAJI MTAANI KWAKO

Tarehe 24/3/2022, DODOMA

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe Mchengerwa, akiwa anazungumza katika Kikao cha Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii ameelezea dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa katika Tasnia za Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kati ya vitu atakavyoanza ni pamoja na kuanzisha Ligi ya Vipaji ya Samia ambayo itafanyika Mtaa kwa Mtaa, Kijiji kwa Kijiji, Nchi Nzima.

Mpango huu unaandaliwa na Wataalam wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo; na tayari Wadau mbalimbali wameshajitokeza kuchangia Vifaa Vya Michezo. Waheshimiwa Wabunge wanategemewa kusimamia katika maeneo yao ili kuhakikisha malengo yanafikiwa.

Sambamba na Uchezeshwaji wa Ligi hiyo, Mhe Mchengerwa aliipa taarifa Kamati kuwa, Kuanzia Tarehe 4 mpaka 6 Aprili, Maafisa Utamaduni na MaaFisa Michezo Nchi Nzima, watakutana Dodoma kwa ajili ya kikao kazi, kati Yao na Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo pamoja na Ofisi ya Rais TAMISEMI kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yao ikiwa ni Pamoja na mchakato wa maelekezo ya Mtaa kwa Mtaa Samia Cup Saka Vipaji Mtaani Kwako.

Samia Cup Saka Vipaji Mtaani Kwako

Jambo hili lilipokelewa kwa shangwe kubwa sana na kuungwa mkono na Wajumbe wote wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii.
Mazafacka hii njia ya kupiga pesa za covid na misaada
 
Mchengerwa is such a genius..
Kama alivyofanya makubwa Utumishi, hii Wizara ataitendea haki, Tanzania itapaa kwenye michezo Kimataifa..
 
Back
Top Bottom