Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisikia Ghiriba za Kisiasa au Unafiki wa Kisiasa ndio huu.Maisha ya kibongo ni vituko tu.
View attachment 3235836
Mwambie aruhusu walimu wapige picha madarasa yao na wamtumieNamuunga Mkono Mheshimiwa Waziri . wanafunzi watakaaje chini wakati serikali imetoa Mabilioni kwa Mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa? Tena inahitaji ujenzi wa madarasa yenye ubora kama haya👎View attachment 3235830View attachment 3235833
Siku ya kiama watu wengi wataumbuka mno!Jamaa mnafiki sana halafu anajifanya anaswali!
Mmh sasa nyie huwa mnawaamini ma ustaadh??Jamaa mnafiki sana halafu anajifanya anaswali!
Aache sifa za kijinga mamilion wanayo chezea dodoma huko anayasahau!?Maisha ya kibongo ni vituko tu.
View attachment 3235836
Kwa miaka 63 ya uhuru, tunamshukuru sana mama kwa kuwawezesha wanafunzi kukaa chiniMaisha ya kibongo ni vituko tu.
View attachment 3235836
Upunguze upimbi sometimesNamuunga Mkono Mheshimiwa Waziri . wanafunzi watakaaje chini wakati serikali imetoa Mabilioni kwa Mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa? Tena inahitaji ujenzi wa madarasa yenye ubora kama haya👎View attachment 3235830View attachment 3235833
Tuanze na hili, kama kweli ana uhakika kuwa kuna wakurugenzi wanahonga milioni 20 kupitisha taarifa zao basi wawakamate na kuwanyonga ama kuwaweka ndani kwani ukiona mtu anahonga kupitisha taarifa zake basi ujuwe huyo ni kibaka wa taifa na yuko 'incompetent.'Maisha ya kibongo ni vituko tu.
View attachment 3235836
Lucas Mwashambwa anasema huo ni uongo, hakuna mwanafunzi anakaa chini.Maisha ya kibongo ni vituko tu.
View attachment 3235836
Sisi kina nani?Mmh sasa nyie huwa mnawaamini ma ustaadh??
Lucas katika watu wabaya saana na wewe umo kila kitu kwako ni siasa na kuangalia tumbo lako bora mwanaccm mwenzako kifua kipana ameliona hili, hali ni mbaya mno watoto kama wako utumwani.Namuunga Mkono Mheshimiwa Waziri . wanafunzi watakaaje chini wakati serikali imetoa Mabilioni kwa Mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa? Tena inahitaji ujenzi wa madarasa yenye ubora kama haya👎![]()