Pre GE2025 Mchengerwa akerwa wanafunzi kukaa chini: Nadhani ameingia leo Tanzania

Pre GE2025 Mchengerwa akerwa wanafunzi kukaa chini: Nadhani ameingia leo Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Maisha ya kibongo ni vituko tu.
1739475967950.png
 

Attachments

  • IMG_1119.png
    IMG_1119.png
    721 KB · Views: 1
Namuunga Mkono Mheshimiwa Waziri . wanafunzi watakaaje chini wakati serikali imetoa Mabilioni kwa Mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa? Tena inahitaji ujenzi wa madarasa yenye ubora kama haya👎
Screenshot_20250211-125939_1.jpg
Screenshot_20250211-125416_1.jpg
 
Angesema Mama Mkwe anagawa pesa kununua magoli ya Yanga na Simba huku watoto wanasomea chini ya miti hapa ningesema ana kifua Kipana!
Hata hivyo amesema vizuri!
 
Kakiri kuhongwa milioni 20 kupokea taarifa za wakurugenzi, achunguzwe na takukuru. Au aseme hizo milioni 20 huwa wanamuhonga/anahongwa nani?
 
Namuunga Mkono Mheshimiwa Waziri . wanafunzi watakaaje chini wakati serikali imetoa Mabilioni kwa Mabilioni ya pesa kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa? Tena inahitaji ujenzi wa madarasa yenye ubora kama haya👎
Screenshot_20250211-125939_1.jpg
Lucas katika watu wabaya saana na wewe umo kila kitu kwako ni siasa na kuangalia tumbo lako bora mwanaccm mwenzako kifua kipana ameliona hili, hali ni mbaya mno watoto kama wako utumwani.
 
Back
Top Bottom