Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3?
Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz


===
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.
Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3?
Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz



===
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.