LGE2024 Mchengerwa: Changamoto zilizojitokeza zinatusaidia kujipanga uchaguzi ujao

LGE2024 Mchengerwa: Changamoto zilizojitokeza zinatusaidia kujipanga uchaguzi ujao

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu,

Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3?

Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

===

View attachment 3163608

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.

Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.
CCM ina mwisho mbaya
 
Ulaghai, hadaa na kejeli, vyote vina mwisho wake.

Huyu asifikiri waTanzania ni majuha wasio weza kutambua upumbavu unao fanywa maksudi; halafu sasa zinaitwa "changa moto"!
Hapa anaanza kuuza ulaghai ule ule ulio onyeshwa toka mwanzo wa zoezi hili la uchafuzi; sasa anahamishia lugha hiyo hiyo kwenye uchaguzi wa 2025!
Yeye anajiona ni mjanja sana kuliko wengine!
 
Wakuu,

Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3?

Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

===

View attachment 3163608

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.

Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.
Hana hata aibu, huu ni uzezeta mkubwa, eti Tanzania ni nchi changa! Miaka 63 kweli ni changa? Aseme ni nchi zezeta yenye mtindio wa akili, hapo ataeleweka aache kutulisha matango pori. Mwangalie hata dhamira inamsuta. IPO SIKU TUTAELEWANA TU.
 
Nauliza, kwanini kuiba kura ni halari kuiba vitu vingine siyo halari Samia Suluhu Hasani Ikulu Mawasiliano Je hiki kizazi gani mnatengeneza?
 
Nguvu mlizotumia Kuiba, kuuwa na kuwadhulumu wapinzani zingetumika Kariakoo ndugu zetu wasingeozea chini ya kifusi.
Shit head.
CCM inatumia sayansi, sera, mipango mikakati mbadala ya maendeleo na ushawishi kuwin the support of voters among all political parties...

Serikali Sikivu ya CCM inatumia umakini mkubwa, weledi na bidii ya kiwango cha juu sana kuyafikia matarajio ya wanainchi na ndoto za waTanzania.

Hakunaga mzaha kwenye lolote kati ya hayo gentleman 🐒
 
CCM inatumia sayansi, sera, mipango mikakati mbadala ya maendeleo na ushawishi kuwin the support of voters among all political parties...

Serikali Sikivu ya CCM inatumia umakini mkubwa, weledi na bidii ya kiwango cha juu sana kuyafikia matarajio ya wanainchi na ndoto za waTanzania.

Hakunaga mzaha kwenye lolote kati ya hayo gentleman 🐒
Sayansi ni kutumia Rungu, Bunduki na maguvu ?
Haya mbona nchi ina Hali duni mno kulinganisha na mnayopayuka jukwaani.
 
CCM inatumia sayansi, sera, mipango mikakati mbadala ya maendeleo na ushawishi kuwin the support of voters among all political parties...

Serikali Sikivu ya CCM inatumia umakini mkubwa, weledi na bidii ya kiwango cha juu sana kuyafikia matarajio ya wanainchi na ndoto za waTanzania.

Hakunaga mzaha kwenye lolote kati ya hayo gentleman 🐒
Du kweli hayo?
 
Sayansi ni kutumia Rungu, Bunduki na maguvu ?
Haya mbona nchi ina Hali duni mno kulinganisha na mnayopayuka jukwaani.
nguvu inatumika kulingana na resistance ya makaidi na mavunjifu ya sheria kwa makusudi.
Na lazima yadhibitiwe vilivyo iliwe wengineo wafanye uamuzi kwa amani.

mwenye hali duni umebaki wewe tu kwasababu ya uvuvi na kiburi chako gentleman 🐒
 
nguvu inatumika kulingana na resistance ya makaidi na mavunjifu ya sheria kwa makusudi.
Na lazima yadhibitiwe vilivyo iliwe wengineo wafanye uamuzi kwa amani.

mwenye hali duni umebaki wewe tu kwasababu ya uvuvi na kiburi chako gentleman 🐒
Hivi wewe Umeme upo kweli humo kichwani ?
Kweli mmegeuzwa Mazezeta huko mlipo.
Alafu hamna mvuvi hapa.
 
Wakuu,

Kwahiyo waliacha matobo makusudi ili waje watuambie watafanya vizuri wakati mwingine, wakati wananchi watakaa na uozo huo kwa zaidi ya miaka 3?

Eti taifa letu changa, mfumo wa vyama vingi tumeanza juzi! Am so wandaz:BearLaugh::BearLaugh::BearLaugh:

===

View attachment 3163608

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.

Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.
Kwa hiyo na ujao pia wizara ndo itasimamia.
 
CCM inatumia sayansi, sera, mipango mikakati mbadala ya maendeleo na ushawishi kuwin the support of voters among all political parties...

Serikali Sikivu ya CCM inatumia umakini mkubwa, weledi na bidii ya kiwango cha juu sana kuyafikia matarajio ya wanainchi na ndoto za waTanzania.

Hakunaga mzaha kwenye lolote kati ya hayo gentleman 🐒
Wewe ni mjinga sana,unafurahia watu kuuwawa kisa uchaguz,mbona nguvu iliyotaumika kwenye huu uchaguz haikutumika kuwaokoa watu wa kariakoo?shame upon you
 
Wewe ni mjinga sana,unafurahia watu kuuwawa kisa uchaguz,mbona nguvu iliyotaumika kwenye huu uchaguz haikutumika kuwaokoa watu wa kariakoo?shame upon you
kama kulikua na changamoto, dosari au kasoro kwenye uchaguzi huu, zitasaidia kuboresha mazingira mazuri zaidi ya uchaguzi ujao.

muhemko na ghadhabu unamletea nani sasa gentleman?🐒
 
Back
Top Bottom