Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC).
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC).
Hamna lolote. Wamekuwa wakisema hivyo kutokana na chaguzi za 2019 na 2020, mbona madudu yale yale yamejirudia mwaka huu? Hakuna utashi wa kisiasa wa kujifunza, ni maneno tu ya mdomoni.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tamisemi, Mohamed Mchengerwa amesema changamoto zilizojitokeza katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika baadhi ya maeneo nchini, zinawasaidia kujipanga na kuwa bora zaidi katika uchaguzi ujao.
Mchengerwa ameyasema hayo leo Novemba 27, 2024 alipokuwa akizungumza mubashara katika televisheni ya Taifa (TBC) Dar.