Mchengerwa hajapongezwa kwa kazi nzuri aliyoifanya?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Alipokuwa akiwaapisha viongozi "wapya" tarehe 10/12/2024, Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan, alisikika akimpongeza Masauni kwa kazi nzuri aliyoifanya akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani!

1. Mchengerwa naye alipongezwa kwa kazi nzuri iliyofanywa na TAMISEMI?

2. Kati ya Mchengerwa na Masauni nani anastahili pongezi nyingi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…