chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Namshauri ndugu Mchengerwa moja kati ya majukumu atakayofanya ni kuongeza idadi ya visiwa ambavyo vitakuwa chini ya hifadhi ya SAANANE.
Kisiwa Cha saanane ni hifadhi ya taifa, na kwa kuangalia mbele, nashauri iongeze idadi ya visiwa ambavyo vitakuwa chini yake, hii itakuwa ni kwa kuangalia mbele ili hifadhi hiyo iwe inalipa kiuchumi, visiwa vingine vinaweza kuwa na mahoteli au utalii wa boti.
Pia mikoa mingine pia, visiwa viangakiwe kwa jicho la kiuchumi
Kisiwa Cha saanane ni hifadhi ya taifa, na kwa kuangalia mbele, nashauri iongeze idadi ya visiwa ambavyo vitakuwa chini yake, hii itakuwa ni kwa kuangalia mbele ili hifadhi hiyo iwe inalipa kiuchumi, visiwa vingine vinaweza kuwa na mahoteli au utalii wa boti.
Pia mikoa mingine pia, visiwa viangakiwe kwa jicho la kiuchumi