LGE2024 Mchengerwa kajaza Uwanja Mafia Lakini Tundu Lissu pale Mwembeyanga hata Robo ya Uwanja hapati, Chadema tumieni Mbinu za kisayansi!

LGE2024 Mchengerwa kajaza Uwanja Mafia Lakini Tundu Lissu pale Mwembeyanga hata Robo ya Uwanja hapati, Chadema tumieni Mbinu za kisayansi!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono 😀
Muacheni Tundu Lisu jamani muwe na huruma na utu basi hata kidogo?

Ana nini cha ajabu tena hata ajaze wanja?🐒
 
Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Ile ya pale HQ ya kutoa watu kafara na kuwachukua na kuwafanya vijana misukule ni SayansiKimu ya siasa katika kutafuta uongozi wa chama Taifa right?🐒
 
Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Sasa hii kashfa ya ushoga ili kupata pesa itamshambulia sana kipindi hiki cha uchaguzi kama ataendelea kuitumikia CCM.
Ona wahuni walivyo Anza kutengeneza clip zao. Nimekutana na hii mahali nimecheka sana.
 

Attachments

  • All_Video_Downloader_Webvv_1728564800361.mp4
    7.7 MB
Sasa hii kashfa ya ushoga ili kupata pesa itamshambulia sana kipindi hiki cha uchaguzi kama ataendelea kuitumikia CCM.
Ona wahuni walivyo Anza kutengeneza clip zao. Nimekutana na hii mahali nimecheka sana.
Hii kashfa itawaganda sana hawa madhalim.
 
1728506785135.png
 
Huo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon

Mlale Unono 😀
---

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa na mbunge wa Rufiji akiwa kwenye viwanja vya Ujamaa wilayani Rufiji kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Ccm katika wilaya hiyo kwa kipindi cha miaka 4.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa amempongeza Rais Samia kwa kufanya maendeleo katika wilaya hiyo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu, ujenzi wa soko la kisasa litakalochochea uchumi wa wananchi.

Mchengerwa amesema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Rufiji katika mkutano wa hadhara ambao ulijikita kuelezea mafanikio na kazi za maendeleo zilizofanywa katika uongozi wake.
Hivi mbinu za kisayansi ni kukatiza vijana wetu masomo yao wajaze viwanja au?
 
Back
Top Bottom