CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Nimecheka sana hapo kwenye hilo wese la Pdidy 🙂🙂🙂🙂.Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana hapo kwenye hilo wese la Pdidy 🙂🙂🙂🙂.Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Waziri Mkuu wa Tanganyika 😀Halafu mchengerwa awe waziri mkuu maana anajituma mno
Ndio Sayansi ya Siasa hiyo 😄Hii ya kusomba watu na malori? shame on you
Bwashee umetumia ID hiyo hiyo umejisahau 😂😂😂😂🔥🔥Nimecheka sana hapo kwenye hilo wese la Pdidy 🙂🙂🙂🙂.
🤣Joe una upuuzi mwingi sana,Lissu mikutano yake na ni ya kuelemisha watu na siyo tamasha kama hayo makusanyiko ya CCM yanayoshereheshwa na mashoga waliopakwa mafuta na Pdidy. Shame on you Joe !!!!!
Muacheni Tundu Lisu jamani muwe na huruma na utu basi hata kidogo?Huo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon
Mlale Unono 😀
Wewe ni mpuuzi sana joHuo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon
Mlale Unono 😀
Ile ya pale HQ ya kutoa watu kafara na kuwachukua na kuwafanya vijana misukule ni SayansiKimu ya siasa katika kutafuta uongozi wa chama Taifa right?🐒Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Niko hapa Serikali za Mitaa najiandikisha kwa UchaguziWe
Wewe ni mpuuzi sana jo
CCM hamnaga akili nyieNdio Sayansi ya Siasa hiyo 😄
Sasa hii kashfa ya ushoga ili kupata pesa itamshambulia sana kipindi hiki cha uchaguzi kama ataendelea kuitumikia CCM.Sayansi yenyewe ndiyo hii kusomba watu kwenye malori na kuwa tumia wasanii wenye kashfa ya ushoga?
Wapakwa mafuta ya Pdidy watapataje akili?CCM hamnaga akili nyie
Ni wapumbavu snWapakwa mafuta ya Pdidy watapataje akili?
Hii kashfa itawaganda sana hawa madhalim.Sasa hii kashfa ya ushoga ili kupata pesa itamshambulia sana kipindi hiki cha uchaguzi kama ataendelea kuitumikia CCM.
Ona wahuni walivyo Anza kutengeneza clip zao. Nimekutana na hii mahali nimecheka sana.
Hivi mbinu za kisayansi ni kukatiza vijana wetu masomo yao wajaze viwanja au?Huo ni ushauri kwenu CHADEMA tumieni Mbinu za kisayansi vinginevyo tutawasahau soon
Mlale Unono 😀
---
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa na mbunge wa Rufiji akiwa kwenye viwanja vya Ujamaa wilayani Rufiji kwa ajili ya kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Ccm katika wilaya hiyo kwa kipindi cha miaka 4.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI na Mbunge wa Rufiji Mohamed Mchengerwa amempongeza Rais Samia kwa kufanya maendeleo katika wilaya hiyo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu, ujenzi wa soko la kisasa litakalochochea uchumi wa wananchi.
Mchengerwa amesema hayo wakati akizungumza na wananchi wa Rufiji katika mkutano wa hadhara ambao ulijikita kuelezea mafanikio na kazi za maendeleo zilizofanywa katika uongozi wake.