RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Sawa.Bei ni kubwa haiwexi kuongezeka itashuka tu tangia hapo ma behewa ni under capacity kubwa unakuta behewa la watu 70 kuna abiria 20 au 15 tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Bei ni kubwa haiwexi kuongezeka itashuka tu tangia hapo ma behewa ni under capacity kubwa unakuta behewa la watu 70 kuna abiria 20 au 15 tu.
Itakuwa ile Express ya saa 12 asubuhiMkuu naona ilipanda train ya kawaida bila kujua economy class ni 50,000 mtoto chini ya 13yrs ni nusu yake mkuu chunguza zaidi.
Nchi imejaa malibukeni ya viongozi na wanao ongozwa SGR olikua fursa kubwa kupunguza high way traffic na ajali barabarani wangepatikana watu ambao wanajua biashara vizuri kwani uweke naili 50000 mpaka dodoma upate abiria robo wakati ungeweka 20k utafanya kazi siku nzima.Utendaji wa wabongo unanikeraaa na mara nyingi hawajui outside world mambo yapoje yaani tumekaa kicongoman congoman kukata viuno tu na kunywa pombe . Nchi nzima haina customer care
Daah PoleUkifika usiku wa bajaj wanakwambia bk 3 hadi mjini mnachangia mimi niliamua kutembea, upande ule wa wenye makazi, nikaenda kupandia mazimbu road
FactMkuu umepanda au umesimuliwa? Nauli Dar Dom ni 31,000 ordinary service. Ya bei juu ni Business ambako wanatoa coffee na bites
SHITHOLE COUNTRIES NA MAMBO YA DUNIA YA KWANZA WAPI NA WAPI!!!Nafikiri sio Dodoma pekee
Nilifika Morogoro ambacho ni kituo pengine cha piki kwa ukubwa; pamoja na kuwa hakina usafiri wowote wa umma tofauti na boda na bajaji; mtu akienda na gari anachajiwa kama vile hawataki magari; kushusha abiria hela, kupakia abiria, hela kuacha gari ndio kabisa mahela....na hawajaweka mahala pa kushusha abiria kwa nje lazima uingie ndani ili ulipe....naona hii haijakaa sawa sawa. Muheshimiwa akapite na huko, hakuko poa....
Hivi kweli kwa karne hii mamlaka inategemea watu 800 wasafirishwe kwa bajaji kwenda kituo cha treni???
Kwa nchi za ULAYA wao wameweka gharama kidogo sana kuacha magari kwani wanashawishi watu watumie treni ili kupunguza msongamano barabarani lakini pia kupunguza hewa ya ukaa/pollution ....mbona hayo mambo mazuri hatuigi???
shithole countries!!!Utendaji wa wabongo unanikeraaa na mara nyingi hawajui outside world mambo yapoje yaani tumekaa kicongoman congoman kukata viuno tu na kunywa pombe . Nchi nzima haina customer care
Kuna SGR Trains za aina 3 zenye bei tofauti kwenye kila aina ya train. Kutoka Dar kwenda Dodoma Ordinary ya SGR Economy Class ni TShs. 31,000/= na ile Express ambayo bei yake ni TShs. 50,000/=. Ile ya Royal Express haina daraja la Economy.Nchi imejaa malibukeni ya viongozi na wanao ongozwa SGR olikua fursa kubwa kupunguza high way traffic na ajali barabarani wangepatikana watu ambao wanajua biashara vizuri kwani uweke naili 50000 mpaka dodoma upate abiria robo wakati ungeweka 20k utafanya kazi siku nzima.