Mchepuko hauna huruma

Hii yote sababu tuu sheria inakutaka uoe mke mmoja. Aliyeleta huu utaratibu wa kuoa mke mmoja ndiye wa kubebeshwa lawama zote. Sex is fun, marriage is love.
 
Hii yote sababu tuu sheria inakutaka uoe mke mmoja. Aliyeleta huu utaratibu wa kuoa mke mmoja ndiye wa kubebeshwa lawama zote. Sex is fun, marriage is love.

Hii comment ipigwe lamination kabisa[emoji4]
 
Chai....mara mke alifariki , mara akataka warudiane ....Duh
 
Chai....mara mke alifariki , mara akataka warudiane ....Duh
We ndo hujasoma ukaelewa, kasema mke wa kwanza waligombana akaondoka , akaoa mwingine akazaa nae mtoto, sasa aliyefariki kwa kulogwa ni huyu wa pili baada ya kuachana na yule wa kwanza, so mzee akaamua kurudi wa yule mke wa kwanza waliyeachana kwa ugomvi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…