Mchepuko namba D

Mchepuko namba D

Daaah basi tu kwa sababu Africa tunaamini kwenye ndoa za kudumu ila kitu MILF ni raha sana yani sana...
Ni B flani nzuri mno kwa ladha kuliko hata D
Experience makes something better
Thanks for your experience
 
sisi tuliooa ndio tunavitaka hivyo namba D
kikuweka kifuani kunakupooza kwa mabusu pande 3
utanyonyweshwa vichuchu visivyo na maziwa
utafutwa jasho la kwenye paji na mgongoni mpaka bondeni kunako hatari
utafix-wa kwenye mpago usitoke (mpago ni ile Y ya manati ya kuwindia ndege pori) km umezaliwa na No D au mjini huwezi ijua
Kasoro yao magonjwa mnawaambukiza sana UTI na Gonoccocus
nyie mnaotaka kuoa hebu tupasieni hivyo vitu
So UTI na gono ni nyingi sana kwa namba D!!?
 
Habarini za leo wana MMU, katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuwa michepuko namba D ( mabinti waliozaliwa 1998-2002)wanachangamoto zifuatazo
1. Wana tamaa ya pesa , Kuna tofauti ya kupenda pesa na kuwa na tamaa ya pesa
2. Wana tamaa ya maisha mazuri bila kujua maisha mazuri ni process ya muda mrefu na mipango
3. Wanapenda shortcut, na kiwango Chao Cha kuvumilia Mambo na upembuzi wa Mambo ni mdogo
4. Wanaamini mahusiano ya kimapenzi ni suluhisho la kila tatizo linalowakabili
5. Ndiyo wale wanaosomeshwa...na kuamua kutimka mbele na kusahau waliowasomesha( msemo wa mchumba hasomeshwi asili yake ni Hawa)
6. Wanapenda starehe sana

Karibu uongezee uzoefu wako.....
NB. Ukiwa na mchepuko namba D, akitaka kwenda muache aende maana huwa hawadumu kwenye mahusiano!
Lawama zote kwa ccm
 
Naomba kufahamu hizo namba zote tafadhali...
 
Wanazingua kweli yaani

Kuna mmoja aliniuliza "Mu" utanioa Nikamwambia mwenge "Hauvuki Kijiji"

Bikra katoa nani Mimi nije kuoa acheni kufananisha ndoa na vitu vya kijinga"
Bikra sio kigezo cha ndoa, vigezo vipo vingi vya kutangaza ndoa hahahaha
 
Back
Top Bottom