Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So UTI na gono ni nyingi sana kwa namba D!!?sisi tuliooa ndio tunavitaka hivyo namba D
kikuweka kifuani kunakupooza kwa mabusu pande 3
utanyonyweshwa vichuchu visivyo na maziwa
utafutwa jasho la kwenye paji na mgongoni mpaka bondeni kunako hatari
utafix-wa kwenye mpago usitoke (mpago ni ile Y ya manati ya kuwindia ndege pori) km umezaliwa na No D au mjini huwezi ijua
Kasoro yao magonjwa mnawaambukiza sana UTI na Gonoccocus
nyie mnaotaka kuoa hebu tupasieni hivyo vitu
Lawama zote kwa ccmHabarini za leo wana MMU, katika utafiti wangu nimegundua kuwa kuwa michepuko namba D ( mabinti waliozaliwa 1998-2002)wanachangamoto zifuatazo
1. Wana tamaa ya pesa , Kuna tofauti ya kupenda pesa na kuwa na tamaa ya pesa
2. Wana tamaa ya maisha mazuri bila kujua maisha mazuri ni process ya muda mrefu na mipango
3. Wanapenda shortcut, na kiwango Chao Cha kuvumilia Mambo na upembuzi wa Mambo ni mdogo
4. Wanaamini mahusiano ya kimapenzi ni suluhisho la kila tatizo linalowakabili
5. Ndiyo wale wanaosomeshwa...na kuamua kutimka mbele na kusahau waliowasomesha( msemo wa mchumba hasomeshwi asili yake ni Hawa)
6. Wanapenda starehe sana
Karibu uongezee uzoefu wako.....
NB. Ukiwa na mchepuko namba D, akitaka kwenda muache aende maana huwa hawadumu kwenye mahusiano!
Sasa hapo kuna utamu uliobaki kweli ?Achana na hizo namba D zitakupa presha, chukua namba B au C ambayo ameshakwanguliwa kwanguliwa na ishapigwa rangi huku side mirror zishavunjwa na kubadilishwa bila kusahau taili zote vipala na bima imekwisha kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika au unahisi ?Utakuwepo tu
Bikra sio kigezo cha ndoa, vigezo vipo vingi vya kutangaza ndoa hahahahaWanazingua kweli yaani
Kuna mmoja aliniuliza "Mu" utanioa Nikamwambia mwenge "Hauvuki Kijiji"
Bikra katoa nani Mimi nije kuoa acheni kufananisha ndoa na vitu vya kijinga"