Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Unao wangap mkuu,mi nina kamoja ka siri..sijutii kuwa naye. Kwanza mama yake ana kipato kikubwa..hawezi kuja kuleta vurugu kama hizoAisee tulio na watoto wa Siri tujipange.
Kumbe dogo alikua na sehemu anakwenda kupona wakati kanisani anakaa viti vya mbele.
Nashangaa pia,unazaa vip na mmama wa mtaani tu tena joblessWanaume kila siku tunasisitiza hapa kwamba, Usiendekeze nyege ukazaa na Fala...
Atakuganda kama ruba maisha yako yote.
Hata siku umepata pisi ya ndoto yako, Atahakikisha anavuruga mahusiano yenu.
Na ndio aina ya waandishi waliojazana nchi hii.Uwezo wa muandishi kielimu na kuhoji ni changamoto nyingine ukiondoa huo mchepuko
Wewe ukifa utapaje aibu wakati hujui linaloendelea? Kwa mwanaume hilo si ajabu kuwa na mtoto nje na wala haiwezi kuwa aibu. Kikubwa no kupatata uthibitisho basi inatoshaKuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Wanakwaya wengi ni wanzi Sana,nishakutana na kitu kizito kwa Wana kwaya nikaapa bora Kama kuoa nioe mhudumu ata wa barKuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Mbona kipori hivyoWanaume wote ni sawa na tumeumbwa kwa macho ya Tamaa hivyo nae ni binadamu mwanaume lolote linawezekana
View: https://youtu.be/EcXfte6SMRs?si=XidjHjoLtMwkDjyu
Hajazaa,kazalishaWanaume mtakufa midomo wazi jamani! Yani mke unalia misiba miwili, kumpoteza mume na usaliti aliokuwa akikufanyia mume mpaka na mtoto kazaa kabisa!
Mungu atusaidie.
Kwani kafanya kosa gani hapo? Si huwanajificha msijulikane Ili muende Mbinguni,Toeni Urithi Kwa mtotoKuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.
Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Maana umekosoa puaKama mke halali wa marehemu Zab
Safi sanaWanaume wote ni sawa na tumeumbwa kwa macho ya Tamaa hivyo nae ni binadamu mwanaume lolote linawezekana
View: https://youtu.be/EcXfte6SMRs?si=XidjHjoLtMwkDjyu
Uchungu? Ni alikuzaa? Hapo ana uchungu na Watoto wake aliozaa na marehemuKosea yote maishani ila usije kosea kutembea na mwanamke wa ovyo.
Na kuchepuka kupo ila ikishakuwa umeoa inabidi u control kusikilizia utamu kupitiliza.
Huyu demu amekaa kimaslahi zaidi. Hakuna chembe ya uchungu kwenye sura yake.
Ni upumbavu tuu,mtu kama ana uwezo aoe hata 100Kumbe ndoa za mke mmoja ni maigizo tu aisee tujitafakari.
Tuzalishe tuijenge nchi yetuNi upumbavu tuu,mtu kama ana uwezo aoe hata 100
Akitulia utamsaidia kulea huyo mtoto?🤣🤣🤣 huwezi kuwa mchep nilichomekea tu
Kaniboa yani kashindwa kutulia km alivyotulia wakati anakula, kuvuruga roho za watu tu,