Mchepuko umeninunia kisa nimeandika hivi kwenye status.

Mchepuko umeninunia kisa nimeandika hivi kwenye status.

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Huu mchepuko bana ulikua ndio my first girl kumjua ila kutokana na sababu za hapa na pale tukajikuta hatukuweza kuoana ila tumebaki kudinyana tu kimya kimya.
Sasa bana leo ilikua ni anniversary ya ndoa yangu mimi na wife,nimepost WhatsApp picha yangu na wife ya siku ya ndoa yetu na nikaandika haya maneno "MAY YOU KEEP THIS SMILE FOR ME FOREVER SWEET DARLING"
Nashangaa mtu kanitumia text ya makasiriko wakuu ukizingatia nae ni mke wa mtu tayari.
Nifanyeje wakuu?
 
Huu mchepuko bana ulikua ndio my first girl kumjua ila kutokana na sababu za hapa na pale tukajikuta hatukuweza kuoana ila tumebaki kudinyana tu kimya kimya.
Sasa bana leo ilikua ni anniversary ya ndoa yangu mimi na wife,nimepost WhatsApp picha yangu na wife ya siku ya ndoa yetu na nikaandika haya maneno "MAY YOU KEEP THIS SMILE FOR ME FOREVER SWEET DARLING"
Nashangaa mtu kanitumia text ya makasiriko wakuu ukizingatia nae ni mke wa mtu tayari.
Nifanyeje wakuu?
Kwanini wakiristo wana sherekea anniversary ya ndoa zao, limeandikwa kwenye bibulia au ni limbukeni wa hao watu eti wanaiga wazungu.
 
Kwanini wakiristo wana sherekea anniversary ya ndoa zao, limeandikwa kwenye bibulia au ni limbukeni wa hao watu eti wanaiga wazungu.
Hayo mambo ya ndoa yenyewe si mmeletewa na hao hao?
 
Huu mchepuko bana ulikua ndio my first girl kumjua ila kutokana na sababu za hapa na pale tukajikuta hatukuweza kuoana ila tumebaki kudinyana tu kimya kimya.
Sasa bana leo ilikua ni anniversary ya ndoa yangu mimi na wife,nimepost WhatsApp picha yangu na wife ya siku ya ndoa yetu na nikaandika haya maneno "MAY YOU KEEP THIS SMILE FOR ME FOREVER SWEET DARLING"
Nashangaa mtu kanitumia text ya makasiriko wakuu ukizingatia nae ni mke wa mtu tayari.
Nifanyeje wakuu?
ukiendelea hivi utachapiwa mchepuko 😂
 
Huu mchepuko bana ulikua ndio my first girl kumjua ila kutokana na sababu za hapa na pale tukajikuta hatukuweza kuoana ila tumebaki kudinyana tu kimya kimya.
Sasa bana leo ilikua ni anniversary ya ndoa yangu mimi na wife,nimepost WhatsApp picha yangu na wife ya siku ya ndoa yetu na nikaandika haya maneno "MAY YOU KEEP THIS SMILE FOR ME FOREVER SWEET DARLING"
Nashangaa mtu kanitumia text ya makasiriko wakuu ukizingatia nae ni mke wa mtu tayari.
Nifanyeje wakuu?

Hiki ndo kizazi kinachotegemea kuipeleka hii jamii mbele kuelekea mafanikio.
 
Mkuu utakuwa unaishi pori sana! Town tunaenda na hii
Screenshot_20230409-192721~2.png
 
Back
Top Bottom